Kuvaa nusu utupu natangaza brand - Vanessa Mdee

HIZI HA

Hizi hapa mkuu,mwili wake akivaa nguo ndefu unatoa majipu.

Nashukuru sana mkuu ni kazuri sana sipendagi bongo flavor ndio maana sikajui.sasa tunafanyaje mkuu nasikia hawa bongo flavor na bongo muvi huwa wanauza kisiri ila mpaka uwaone madalari wao
 
Mimi ndio ugonjwa wangu huo... Mademu wa kijanja kama V Money... Vifutu tunawaachia mapapaa.
 
mademu kama hawa hua nawaonea huruma sana bora wenye mizigo yao wanaweza kukuzuia kidogo ila uyu labda mbupu ndio izuie
 
video zake zote yeye ni full vichupi aisee
 
Wembamba wana raha nyie acheni jamani.mwanamke yoyote ili mradi awe mwembamba huwa namuona mzuri
 
Kama ni Vanesa avae tuu, ila nikisikia yule Witness Kibonge kaanza kuvaa ndio nita complain.
 
Vanessa amejaa uzungu mwingi,yaani anaishi maisha ya mbelembele hata hivyo yuko kibiashara zaidi btw all the best to her
 
Nashukuru sana mkuu ni kazuri sana sipendagi bongo flavor ndio maana sikajui.sasa tunafanyaje mkuu nasikia hawa bongo flavor na bongo muvi huwa wanauza kisiri ila mpaka uwaone madalari wao
Dalali yeye mwenyewe we ingia istagram yake uchukue mawasiliano yake.
 
mbona Yemi Alade anavaa nguo ndefu lkn zina mpasuo mpaka kwenye mapaja kuna tofauti gani na anayevaa vimini?
tatizo kwa yemi unaona ndani kwa shida mpaka uchungungulie kupitia mpasuo, si kama ka v-pesa unaona moja kwa moja!
 
Hana madhara bana.. Sasa akifunika tutavutiwa na nini ?
 
Haya, kumekucha midume ya dar kuongea umbea kuhusu wanawake!
Hivi Dar hamna mambo ya kiume ya kuongea? Waacheni wanawake wapumue.
 
Japo ngozi imem'bana ila kanafaa kwa matumizi ya binaadam!
 
Japo ngozi imem'bana ila kanafaa kwa matumizi ya binaadam!
Acheni maneno ya kejeli bana... Sa Vanessa ana ubaya gani!?!? Anenepe anaenda mnadani!? Mvuto anao... Nguo fupi ajaanza yy...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…