Kuvaa nusu utupu natangaza brand - Vanessa Mdee

Kuvaa nusu utupu natangaza brand - Vanessa Mdee

HIZI HA

Hizi hapa mkuu,mwili wake akivaa nguo ndefu unatoa majipu.
images
images
images

Nashukuru sana mkuu ni kazuri sana sipendagi bongo flavor ndio maana sikajui.sasa tunafanyaje mkuu nasikia hawa bongo flavor na bongo muvi huwa wanauza kisiri ila mpaka uwaone madalari wao
 
Mimi ndio ugonjwa wangu huo... Mademu wa kijanja kama V Money... Vifutu tunawaachia mapapaa.
 
mademu kama hawa hua nawaonea huruma sana bora wenye mizigo yao wanaweza kukuzuia kidogo ila uyu labda mbupu ndio izuie
 
Msanii wa muziki wa bongo fleva ambaye anafanya
poa katika anga za kimataifa Vanesa mdee,
amefunguka sababu ya yeye kupenda kuvaa nguo za
nusu utupu.
Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live
kinachorushwa na East Africa Radio na EATV,
Vanessa Mdee amesema anapenda kuvaa mavazi
hayo ambayo hayakubaliki kwa jamii, kwa sababu
anatangaza brand yake, na hatimaye impe dili la
matangazo kwa wabunifu wa mavazi.
“Ukweli ni huu, wasanii for a long time in the past,
wasanii wa kitanzania hawajajua na kutambua brand
yao, mi brand yangu mi nataka ndani ya miaka miwili
napigiwa simu na Balmain, na Louis Vuitton, nataka
designers wakubwa wa dunia wanitumie kutangaza
bidhaa yao kwa sababu wanaamini nina brand yangu
kubwa na zinaendana, so nna malengo , na if im
gonna offend anybody im sorry”, alisema Vanessa
Mdee.
Vanessa Mdee ambaye kwa sasa ameachia video
yake mpya ya Niroge, amesema ana mipango ya
kufika na kutambulika dunia nzima katika kazi zake za
muziki, kama alivyochora ramani ya dunia kwenye
mkono wake.
video zake zote yeye ni full vichupi aisee
 
Wembamba wana raha nyie acheni jamani.mwanamke yoyote ili mradi awe mwembamba huwa namuona mzuri
 
Kama ni Vanesa avae tuu, ila nikisikia yule Witness Kibonge kaanza kuvaa ndio nita complain.
 
Vanessa amejaa uzungu mwingi,yaani anaishi maisha ya mbelembele hata hivyo yuko kibiashara zaidi btw all the best to her
 
Nashukuru sana mkuu ni kazuri sana sipendagi bongo flavor ndio maana sikajui.sasa tunafanyaje mkuu nasikia hawa bongo flavor na bongo muvi huwa wanauza kisiri ila mpaka uwaone madalari wao
Dalali yeye mwenyewe we ingia istagram yake uchukue mawasiliano yake.
 
Haya, kumekucha midume ya dar kuongea umbea kuhusu wanawake!
Hivi Dar hamna mambo ya kiume ya kuongea? Waacheni wanawake wapumue.
 
Japo ngozi imem'bana ila kanafaa kwa matumizi ya binaadam!
 
Japo ngozi imem'bana ila kanafaa kwa matumizi ya binaadam!
Acheni maneno ya kejeli bana... Sa Vanessa ana ubaya gani!?!? Anenepe anaenda mnadani!? Mvuto anao... Nguo fupi ajaanza yy...
 
Back
Top Bottom