Kuvaa saa mkono wa kulia

Mm naona ni maamuzi ya mvaaji, ingawa mkono wa kushoto ndio maarufu zaidi.
 
Mi naona waislamu wengi ndo huvaa mkono wa kulia, hata pete pia hufanya hivyo
 
That's true bro!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha uongo, kuna baadhi ya saa zipo zilizotengenezwa maalum kwa watu wanaopendelea kuvaa mkono wa kulia japo ni chache sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…