Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Leo imeripotiwa kuwa mtihani wa Mathematics kwa Form IV umehairishwa kufanyika leo kwa sababu umevuja na utafanyika jumatatu ijayo. Hii ni habari mbaya kwa vijana waliojiandaa kufanya mtihani leo kutokana na uzembe wa wizara ya elimu na baraza la mitihani kushindwa kutimiza wajibu wao wa kulinda mitihani.
Hii sio poa na waziri wa elimu anawajibika kujiuzulu akifuatiwa na uongozi wa baraza ili kuruhusu uchunguzi zaidi kwa nini hawa jamaa bado wanatoa mitihani. Utaratibu wa huu wa mithani una walostisha sana vijana ambao wasingeweza kupata hata huo mtihani fake wenyewe.
Inawezekana pia ushindani wa shule uliopo sasa unaweza kuwa ndio kichocheo zaidi kila mtu anataka mtoto wake au shule yake iwe ya kwanza hata kama haina uwezo ukizingatia wasimamizi wa mitihani wako corrupted lazima mtihani uvuje. Lakini hii sio sababu pekee manake na walimu pia wanahusika kuvujisha.
Miaka yote paper inavuja na business as usual sio poa.
Hii sio poa na waziri wa elimu anawajibika kujiuzulu akifuatiwa na uongozi wa baraza ili kuruhusu uchunguzi zaidi kwa nini hawa jamaa bado wanatoa mitihani. Utaratibu wa huu wa mithani una walostisha sana vijana ambao wasingeweza kupata hata huo mtihani fake wenyewe.
Inawezekana pia ushindani wa shule uliopo sasa unaweza kuwa ndio kichocheo zaidi kila mtu anataka mtoto wake au shule yake iwe ya kwanza hata kama haina uwezo ukizingatia wasimamizi wa mitihani wako corrupted lazima mtihani uvuje. Lakini hii sio sababu pekee manake na walimu pia wanahusika kuvujisha.
Miaka yote paper inavuja na business as usual sio poa.