Kuvuka million kama Akiba ni changamoto sana

Kuvuka million kama Akiba ni changamoto sana

Manifestation

Senior Member
Joined
Jan 22, 2020
Posts
193
Reaction score
323
Nipo katika mazingira ya kupata hela kila siku ili mradi natoka kufanya kazi zangu za kila siku, kipato changu kwa siku hakipungui 30000 ikiwa na maana hapo nishakula na mahitaji yangu ya lazima ya siku kama vocha/soft drinks/ nk.

Ila kuweka akiba imekuwa ni shida sana kwani naweza kujibana wiki mzima au week mbili Ila unashangaa nimebet hela imeishia huko.

Au nimeenda kutumia kwa mambo mengine mengi ya kufurahisha nafsi kwa muda mfupi baadae naanza kujishangaaa, kila nikifikisha laki tisa kwenye akiba yangu lazima nipate mshimshike either wa kumkopa ndugu/rafiki asirudishe; kizinga kutoka kwa mwanamke wangu na mambo mengine mengi, yaani nilipanga mwaka huu akiba kila mwezi isipungue 800,000.

Ila kupata hiyo kwa mwezi naweza Ila shida ni kuweka Akiba ndo inanisumbua kwani lazima nijisikia kutumia tu,

Nyie mnaoweza kuweka Akiba mnafanyaje?
 
matumiz ya kijinga ni mengi sana ndo mana unakuta watu wanaokunywa pombe na wasiokunywa pombe maisha yao yapo sawa au anaekunywa ana maendeleo zaidi..ndugu na marafiki mizinga mingi na wakikopa hawalipi kupenda kuvaa na madem sana(kuonga) na outing za mara kwa mara,kubeti,kula vizuri hasa kwenye migahawa ya bei nk..bas unabaki kwenye cycle moja mbaya sana..unasave weee.. siku ukitumia unatumia hata 50% ya hyo saving..mfano unasave mwaka mzima halaf december unasafiri unaenda home likizo..hapo utaspend balaa..ndugu wanadhani una pesa mingi hapo january mara nyingi kodi inakuwa imeisha..basi kufikia malengo ni ngumu bila wewe mwenyewe kujitathmini na kujicomit
 
punguza matumiz yasiyo ya muhimu..acha kubet punguza idadi ya wanawake(naamini we ni me) punguza mitoko ya ghafla,jifunze kusema NO Sometimes ndugu na marafiki wanafelisha..panga bajeti ya vitu vyote vya muhimu kwa mwezi na hakikisha unaisimamia.
 
Nipo katika mazingira ya kupata hela kila siku ili mradi natoka kufanya kazi zangu za kila siku, kipato changu kwa siku hakipungui 30000 ikiwa na maana hapo nishakula na mahitaji yangu ya lazima ya siku kama vocha/soft drinks/ nk.

Ila kuweka akiba imekuwa ni shida sana kwani naweza kujibana wiki mzima au week mbili Ila unashangaa nimebet hela imeishia huko.

Au nimeenda kutumia kwa mambo mengine mengi ya kufurahisha nafsi kwa muda mfupi baadae naanza kujishangaaa, kila nikifikisha laki tisa kwenye akiba yangu lazima nipate mshimshike either wa kumkopa ndugu/rafiki asirudishe; kizinga kutoka kwa mwanamke wangu na mambo mengine mengi, yaani nilipanga mwaka huu akiba kila mwezi isipungue 800,000.

Ila kupata hiyo kwa mwezi naweza Ila shida ni kuweka Akiba ndo inanisumbua kwani lazima nijisikia kutumia tu,

Nyie mnaoweza kuweka Akiba mnafanyaje?
Kila jambo lahitaji nidhamu. Na badala ya kujishangaa, inabidi uanze kujutia maamuzi yasiyo na tija.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo katika mazingira ya kupata hela kila siku ili mradi natoka kufanya kazi zangu za kila siku, kipato changu kwa siku hakipungui 30000 ikiwa na maana hapo nishakula na mahitaji yangu ya lazima ya siku kama vocha/soft drinks/ nk.

Ila kuweka akiba imekuwa ni shida sana kwani naweza kujibana wiki mzima au week mbili Ila unashangaa nimebet hela imeishia huko.

Au nimeenda kutumia kwa mambo mengine mengi ya kufurahisha nafsi kwa muda mfupi baadae naanza kujishangaaa, kila nikifikisha laki tisa kwenye akiba yangu lazima nipate mshimshike either wa kumkopa ndugu/rafiki asirudishe; kizinga kutoka kwa mwanamke wangu na mambo mengine mengi, yaani nilipanga mwaka huu akiba kila mwezi isipungue 800,000.

Ila kupata hiyo kwa mwezi naweza Ila shida ni kuweka Akiba ndo inanisumbua kwani lazima nijisikia kutumia tu,

Nyie mnaoweza kuweka Akiba mnafanyaje?
Cc: Kiranga hawa ndiyo matajiri wa JF imagine
 
Nipo katika mazingira ya kupata hela kila siku ili mradi natoka kufanya kazi zangu za kila siku, kipato changu kwa siku hakipungui 30000 ikiwa na maana hapo nishakula na mahitaji yangu ya lazima ya siku kama vocha/soft drinks/ nk.

Ila kuweka akiba imekuwa ni shida sana kwani naweza kujibana wiki mzima au week mbili Ila unashangaa nimebet hela imeishia huko.

Au nimeenda kutumia kwa mambo mengine mengi ya kufurahisha nafsi kwa muda mfupi baadae naanza kujishangaaa, kila nikifikisha laki tisa kwenye akiba yangu lazima nipate mshimshike either wa kumkopa ndugu/rafiki asirudishe; kizinga kutoka kwa mwanamke wangu na mambo mengine mengi, yaani nilipanga mwaka huu akiba kila mwezi isipungue 800,000.

Ila kupata hiyo kwa mwezi naweza Ila shida ni kuweka Akiba ndo inanisumbua kwani lazima nijisikia kutumia tu,

Nyie mnaoweza kuweka Akiba mnafanyaje?
Weka bank, fungua standing order account. Hutojutia. CRDB wanafanya, sijui kuhusu bank nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nimevutiwa. Mi nataka akaunti ambayo nitakuwa naweka Bila kutoa ila ni kila ninapopata na sio kwa mkupuo. Ipo akaunti ya hivyo? Benki ipi nijulisheni

Sent using Jamii Forums mobile app
Fungus standing order. CRDB wanafanya. Unaweka hela kwa account then mnakubaliana kila tarehe ngapi wanachukua kiasi mlichokubaliana na kukutunzia kwenye hiyo subaccount.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo katika mazingira ya kupata hela kila siku ili mradi natoka kufanya kazi zangu za kila siku, kipato changu kwa siku hakipungui 30000 ikiwa na maana hapo nishakula na mahitaji yangu ya lazima ya siku kama vocha/soft drinks/ nk.

Ila kuweka akiba imekuwa ni shida sana kwani naweza kujibana wiki mzima au week mbili Ila unashangaa nimebet hela imeishia huko.

Au nimeenda kutumia kwa mambo mengine mengi ya kufurahisha nafsi kwa muda mfupi baadae naanza kujishangaaa, kila nikifikisha laki tisa kwenye akiba yangu lazima nipate mshimshike either wa kumkopa ndugu/rafiki asirudishe; kizinga kutoka kwa mwanamke wangu na mambo mengine mengi, yaani nilipanga mwaka huu akiba kila mwezi isipungue 800,000.

Ila kupata hiyo kwa mwezi naweza Ila shida ni kuweka Akiba ndo inanisumbua kwani lazima nijisikia kutumia tu,

Nyie mnaoweza kuweka Akiba mnafanyaje?
Fungua fixed account benki
 
Back
Top Bottom