Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio kama huo kutokupendelea matumizi ya matusi 🥰Ila nimecheka🤣
Utamu wa moyo ndio ukoje best
Hakika una moyo mtam kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kama huo kutokupendelea matumizi ya matusi 🥰Ila nimecheka🤣
Utamu wa moyo ndio ukoje best
Mimi nitakuignore tu nikiona umevuka mipaka......hongera Sana kama unaweza kujicontrol, kwenye ugomvi silaha namba moja ya mwanamke ni matusi na maneno makali, akishindwa ndo anang'ata na badae kabisa mawe......
Naona kijana umeamua kunadi sera, haya twende na mama 😀😀😀Ndio kama huo kutokupendelea matumizi ya matusi 🥰
Hakika una moyo mtam kweli kweli
Mama mzuri, mpole, hatukani ila ukimzingua anakuzingua 😂Naona kijana umeamua kunadi sera, haya twende na mama 😀😀😀
Basi wacha niendelee hivi niwe na moyo mtamu zaidi🤗Ndio kama huo kutokupendelea matumizi ya matusi 🥰
Hakika una moyo mtam kweli kweli
Na utakua mtam zaidi, asali mbona chungu 😁Basi wacha niendelee hivi niwe na moyo mtamu zaidi🤗
Kuna uzi toka jana naukwepa najua nikiingia huo ban lazima hao uzi huo umewaponza
Mwangalie km yuponilikuwa namuona sana jukwaa la siasa
Hivi ni mtoto au ana shida akilini??hayuko sawa kabisa huyo mtu🙌Mtu Kama dume kipara mie nilishamuignore,sioni content zake,nashangaa yeye ananiona Hadi kulike comment yangu,🤔hii imekaaje wadau?
Duuuh aseeeView attachment 2579010
Siasa na mapenzi ndio sehemu watu hujiachia zaidHalafu kwa utafiti wangu mdogo majukwaa yanayoongoza kwa ban humu ni siasa na MMU, huwezi kuta jukwaa la ujasiriamali mtu kapigwa ban
Bipolar disorder🤪🤪🤪🤪🏄🏄🏄🏄🏄🏌️Hivi ni mtoto au ana shida akilini??hayuko sawa kabisa huyo mtu🙌
Weee 🤣🤣Na utakua mtam zaidi, asali mbona chungu 😁
Ignore list ni kwa ajili yako. Si kwa ajili yake. Yeye ataendelea kuona content zako ila wewe hutoona zako.Mtu Kama dume kipara mie nilishamuignore,sioni content zake,nashangaa yeye ananiona Hadi kulike comment yangu,🤔hii imekaaje wadau?
Nakazia
MMU watu wengi wana njaa za tumbo na mapenzi
Nakazia ...Hivi ni mtoto au ana shida akilini??hayuko sawa kabisa huyo mtu🙌
Jitahidi ukue .Bipolar disorder🤪🤪🤪🤪🏄🏄🏄🏄🏄🏌️
Ndio 😂 sukari ndio kabisaaWeee 🤣🤣