Kuvumiliana JF

Status
Not open for further replies.
Yaani bora basi liwe group la neema yaani wanajisifia kwamba wanaweza kusuguana vizuri wakiongozwa na ibilisi bin chetani anaye jiita cature me
yan nilipoona ile poll nikajiambia this 💩 is getting serious, baadae nakuja kuona banned kama zote nikajisemea au ndio mods wameamua kumtoa cocastic mazima, anyway yatapita
 
💯💯💯 Sema nili doubt ndo maana hii ishu imeshasemwa na watu 6 kwenye thread 3 tofauti ndo maana nilitaka niiamini hivyo sijui sasa ipoje 🤔
Mada zinazogusa maisha ya mtu personal nje ya utani huwa zinaleta ugomvi wa maneno, matusi, kuabishana, beef zisizoisha na kulamba ban hii ni kawaida kwa dada zetu.

Wanaume tusifike huko tuanze kuchambana kama wadada haipendezi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…