Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Ni mambo ya kijinga ( kama hayakuhusu).....Vita ya panzi furaha kwa kunguru😀
Noted 👍2030 utawakuta kina nanii wote wamezeeka misura imechuma kunde😂😂😂😂😂😂woiiiiiii.
Jitafutie mchuchu sa hii lkn nje nje kidg kua makini sana kaka angu.
nimeshangaa kwa nn wewe hukula ban wakati ulikazana kukaza mkono kukomentIsipokuwa mm 😬😬😬
Unapotezea tuNdo maama nimesema dogo ana utoto wa kukera sana anavamia sana watu
rafiki nakutakia ijumaa kuu njemaKuna dogo aliniparamia jana hadi nikakasirika but nikapotezea, muda mchache nikaona wamemchoma sasa yuko kuzimu
.......utaishia salama tu, kama watu watautembeza kwa staha, vinginevyo lazima uondoke na kichwa cha mtu coz Max amekata pale kwenye kona .........Huu uzi unatembea sana, ukimalizika salama sijui
...........😂 wanyabaha wanaushambulia Uzi Kwa fujo.......Ndugu wananzengo ndani ya uzi huuView attachment 2579464
yan nilipoona ile poll nikajiambia this 💩 is getting serious, baadae nakuja kuona banned kama zote nikajisemea au ndio mods wameamua kumtoa cocastic mazima, anyway yatapitaYaani bora basi liwe group la neema yaani wanajisifia kwamba wanaweza kusuguana vizuri wakiongozwa na ibilisi bin chetani anaye jiita cature me
Mada zinazogusa maisha ya mtu personal nje ya utani huwa zinaleta ugomvi wa maneno, matusi, kuabishana, beef zisizoisha na kulamba ban hii ni kawaida kwa dada zetu.💯💯💯 Sema nili doubt ndo maana hii ishu imeshasemwa na watu 6 kwenye thread 3 tofauti ndo maana nilitaka niiamini hivyo sijui sasa ipoje 🤔
Kwa hawa mods wetu wa kibongoJaribu kumfata mod umuelezee kwa kina, huenda akakuelewa wakarekebisha hyo mistake
Wewe mpole sana toka nimekufahamu kwa kweli. Tena unaonewa sana na huwa unakaa kimya. Hujuagi kulumbana, anayesema wewe mkorofi hakufahamu na mtu asiyekufahamu ahakujudge kwa kila aina.
Sawa mkuu asante kwa kuni criticise 💯 nimebadilika sasaMada zinazogusa maisha ya mtu personal nje ya utani huwa zinaleta ugomvi wa maneno, matusi, kuabishana, beef zisizoisha na kulamba ban hii ni kawaida kwa dada zetu.
Wanaume tusifike huko tuanze kuchambana kama wadada haipendezi
Acha nikae kimya tu maana wakiniban nafungua nyingine, na hiyo nyingine namtafutia pachaWao wanapigwa ban na nani?