spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Jana ule mtaa nilipita nikajisemea tu hiiih
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu kumfata mod umuelezee kwa kina, huenda akakuelewa wakarekebisha hyo mistakeMkuu makosa ni yao wenyewe kabisa na bado ninazo nyingi tu nikisema niziorodheshe hapa mtashangaa
Mbona nimeweka wazi tu.......Kuna jambo unataka kulileta 🤣
nipende Mimi acha hao matapeliWeee kwahyo Half american sio mnyamwezi wa mamtoni kama anavyojiita??😂😂
Hapana bana nakataa, huyo mmarekani
Tuishi hivyo kiume. Wanaume hatusambazi maneno ya unaa au kuchafuana, una jambo njoo PM na yanaishia hukohuko.Haya sawa acha nikae kimya labda namsingizia kweli....................
Ni kipindi kile MODS wamefuta uzi wetu pendwaaa... tukawasha motoo balaaa member kibao waliokuwa wananitetea pia wakala ban. Sema uzi ukaja kurudishwaNawe ulipigwa ban?
Mbona hunaga baya na mtu, uko zako busy kujilia kimasihara
Sikujua mpendwa, hope mna nitumia hata ki zawadi kidogo😁😁, ila ngoja nami nitajitahidi nipate hata ka gf 2030Mim nmeolewa na mzungu😂😂
Hukupata taarifa hadi leo hii.
Aiseee kweli kabis hizi siri za watu mpaka raha 😁😁Mbona nimeweka wazi tu.......
Mi nimpambe, napenda Vita.
Sina upande, naenjoy comments.
Asa hapo juu limetokea group lingine linasema wenzao wanajitapa wana mabwana wenye pesa, ila daily kusuka Mabutu 😂😂.
Nisicheke mie nani eeeeh?
Pole Sana ewe future kuni ya motoni😁😀Ni kipindi kile MODS wamefuta uzi wetu pendwaaa... tukawasha motoo balaaa member kibao waliokuwa wananitetea pia wakala ban. Sema uzi ukaja kurudishwa
Endelea kuneng'eneka....nipende Mimi acha hao matapeli
💯💯💯 Sema nili doubt ndo maana hii ishu imeshasemwa na watu 6 kwenye thread 3 tofauti ndo maana nilitaka niiamini hivyo sijui sasa ipoje 🤔Tuishi hivyo kiume. Wanaume hatusambazi maneno ya unaa au kuchafuana, una jambo njoo PM na yanaishia hukohuko.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀mkuu sasa mimi ndo nilikula hao wadadaaa..??Pole Sana ewe future kuni ya motoni😁😀
Vita ya panzi furaha kwa kunguru😀Mbona nimeweka wazi tu.......
Mi nimpambe, napenda Vita.
Sina upande, naenjoy comments.
Asa hapo juu limetokea group lingine linasema wenzao wanajitapa wana mabwana wenye pesa, ila daily kusuka Mabutu 😂😂.
Nisicheke mie nani eeeeh?
Ule uzi ndio unachangia umaarufu wa JF ulimwenguni.Ni kipindi kile MODS wamefuta uzi wetu pendwaaa... tukawasha motoo balaaa member kibao waliokuwa wananitetea pia wakala ban. Sema uzi ukaja kurudishwa
Ndo maama nimesema dogo ana utoto wa kukera sana anavamia sana watuTuishi hivyo kiume. Wanaume hatusambazi maneno ya unaa au kuchafuana, una jambo njoo PM na yanaishia hukohuko.
hawawezi kuufuta kamwe... labda jf ife ndo utapoteaUle uzi ndio unachangia umaarufu wa JF ulimwenguni.
Wangeuacha tu.
Na wakifuta tena wadau tutaandamana hadi makao makuu utarudishwa.
Kakorofi sana hako kabinti[emoji23][emoji23][emoji23]
Usifanye hivo boss
😂😂😂😂 mie ndio mana sipendi magroup humu unaepuka mengiMimi uzi wa kinyesi kwa sasa napita mbali maana seriuos nikichangia huwa nina maandishi makali na wale machetani kwa sasa wana kigroup chao huwa wanaitana kukushambulia🤨