Sema ukiangalia hizi beef za dada zetu zinachangiwa na vitu vidogo sanaMada zinazogusa maisha ya mtu personal nje ya utani huwa zinaleta ugomvi wa maneno, matusi, kuabishana, beef zisizoisha na kulamba ban hii ni kawaida kwa dada zetu.
Wanaume tusifike huko tuanze kuchambana kama wadada haipendezi
I mean no malice to nobody, naona umerejea madam Bantu LadyWewe mpole sana toka nimekufahamu kwa kweli. Tena unaonewa sana na huwa unakaa kimya. Hujuagi kulumbana, anayesema wewe mkorofi hakufahamu na mtu asiyekufahamu ahakujudge kwa kila aina.
😂😂.......kwamba it's too low for U?😀unafikiri nasoma darasa la pili
Fact 💯💯Hali za kushindwa kuvumilia mawazo na fikra za wengine humu ndani ndizo husababisha hasira na kupelekea kushambuliana, haitupasi kuwa hivyo.
Humu ndani hatufanani na haiwezekani kamwe kufanana na kama wote humu tungefanana kifikra na kimawazo basi hapa pangekuwa sehemu mbaya sana kuwepo
Tofauti zetu ndio uzuri wa hili jukwaa, TUJIFUNZE UVUMILIVU
Ulimfata Dejane PM akakupotezea [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa ukijiita shetani unategemea nini?
Ila mkuu umenifanya nijifunze kuhusu mizagamuano, akati iam still singlee😆😀😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀mkuu sasa mimi ndo nilikula hao wadadaaa..??
Jf ni wewe unavyoitaka ikutreat, mi napenda kushinda kwenye story kule ni burudani
Ohh kumbe misambwanda lol, napenda kuitazamaa tu. Ila I appreciate English figure flani hivii 😍Eeh huko huko kunakufaa upatane na pisi zenye zimefungasha mizigo kweli sio sisi tunakalia migongo.
Aliyeleta story anaitwa Ubobo huyu mjinga binadam mtakatifu ana ID kama zote. Ila bado hajaendeleza akileta muendelezo nakuita wa kwanza.Tulicheka pamoja story ya kuzama baharini akakuta ntu anaangalia Dstv kipindi cha discovery kumbe ndio mwenye story namcheka nae anamcheka anajicheka mbona hukunistua
Sikupendi Gilly tena
Sio mamtoni?Natokea ikwiriri mkuu nkishashiba wali nakuja jf kurefresh mind
Hii umeisema kiwepesi sana lakini context yake ni nzito mno, Jf itakuwa kama jinsi ambavyo yeye mhusika anataka iwe kwa upande wake.Jf ni wewe unavyoitaka ikutreat, mi napenda kushinda kwenye story kule ni burudani
Mwanamke anaweza tu akaamka asubuhi akasema leo nina hamu ya kumchamba mtu fulani. Kwa hiyo anaweza akakutafuta kwa kitu kidogo tu ili atimize lengo lake la kukuchamba hapo moyo wake unafurahi sasaSema ukiangalia hizi beef za dada zetu zinachakiwa na vitu vidogo sana
Hizo sizitaki. Napenda clean and lover facial, mgongo ujitenganishe na kiuno, rangi flani hivi😁😁, ka mzingo flani hivi ka lawamaa.Kuna English figure zingine zimeundwa kwa michogoma.
😂😂😂
Shatani kaa mbali usiweze kuniharibia kwaresma yangu na leo hii ni ijumaa kuu Nakukemea katika Jina la Yesu. .Umughaka ni mumeo? Au Antononia ni shoga mwenzio?
Mkuu wamefuta uzi we hujaona labda nianze mwingine nipost upya