Nimegundua kuna watu wanakuja na ID feki zao waanzishe ugomvi ili mradi basi tu hawana jipya. .
πππ Utafanya niingize hii verse kwenye storyShatani kaa mbali usiweze kuniharibia kwaresma yangu na leo hii ni ijumaa kuu Nakukemea katika Jina la Yesu. .
Nimepewa mamlaka ya kukulaani na kuyafunga maisha yako. Chunga sana. .
Kaka nimejistukia comment yako mbona kama inanihusu ππππ.Nimegundua kuna watu wanakuja na ID feki zao waanzishe ugomvi ili mradi basi tu hawana jipya. .
Kumbe na wewe Ban ushakula Mkuu......,,,, Ngoja na mimi siku nijaribu kutukana nione Ban inataste vip....Sijawahi kuwa na ID nyingine zaidi ya hii, kuna ban ilipita ya kama masaa 3 hivi hata sijjui ilikuwaje [emoji23]
Walivyonipa ban wakasepa na thread zoteAah acha masikhara umefutwa kwa sababu gan?
Alitoka chini ya bahari yule mtu na alokuwa anaangalia discovery channel ni nani?ππππSikujua kama umefungwa ule uzi na bado nilikuw namsubiri askofu Gilyπ€£
Ngoja niifanyie kaz hii kuna watu nimewaandika pembeniπhumu ukiona mtu anakutukana sijui anakuzingua kila post just click IGNORE yani mbona simple sanaaa... kuna jamaa alikuwa anahubiri kwenye uzi pendwa watu wakawa wanajibishana nae ila baadae wakamuignore so anashangaa watu hawamjibu tena kumbe anapost ila anaona mwenyewe
Tupe huo uzi tukachukue ban hukoππKuna uzi toka jana naukwepa najua nikiingia huo ban lazima hao uzi huo umewaponza
I mean no malice to nobody, mi nimetania tu mkuu.Mkuu unawashwa au una kipere unataka kutumbuliwa
Dah kweli nimepitwa ngoja nifungue account mpya kesho. Naweka picha ID ya dada mzuri san nasajili na line kabisa mwaka huu lazima nijenge[emoji2]
π Wewe dawa yako inachemka, nitaanzisha vurumai nisepe mimi ππππAlitoka chini ya bahari yule mtu na alokuwa anaangalia discovery channel ni nani?ππππ
Hhahahha inaonekana episode ya 16 hukusoma?Huyo mtu alikuw anaangalia documentary ya wanyama mbugani serengetπ€£π€£π€£