Usinichekeshe. Hivi unafikiri ni nani ana presha ya kuingia kwenye ndoa kati ya MUOAJI na MUOLEWAJI? Siku hizi hatutafuti, tunachagua tu kati ya wanaojitegesha 😀😀😀
Msichana hawi mchumba wako mpaka pale utakapopeleka POSA kwa wazazi au walezi wake. Posa yako ikikubaliwa na wazazi, msichana akakuridhia, utamvisha pete... na tangu hapo nyie wawili ni wachumba. Huyu ndio anaweza kukushitaki kuwa umevunja ahadi ya ndoa, sio viruka njia ambao hata jamaa na familia hawawafahamu
Hekima lazima itumike na busara pia unaweza ukaamua ikawa tofauti
We nayeKwa Mimi baby lazima nikuwowe. Tafadhali usinipeleke kwenye mukono wa sheria.
Unaelewa kwamba evidence ya wizi si definition ya wizi?Hujasoma comments zilizoandikwa huko juu na hata wengine kuhusu Evidence ya ahadi, au unataka nikuandikie yakwako peke yako
Kinyume na hapo utahakikishiaje mahakama kuwa alikuahidi kukuoa?? Usitoe pichu yako bila maandishi sahihi kuwa; Nitakuoa. Hata hako kazawadi ka usiku mmoja tu aonje kama huna maandishi hawezi kukurudishiaKina dada siku hizi mwanaume akikwambia anataka akuoe na ukimuona anafaa mpe karatasi akuandikie muandikishiane kuwa kwa hiari amekubali atanioa ili akikataa au akibadili mawazo unafungua kesi kupiti hiyo karatasi ya makubaliano mtakuwa mmebambana
Nimerudia kusoma kurasa zote 6 za uzi huu mpaka sasa, sijaona sehemu ambapo imetajwa definition ya ahadi ya kuoa/kuolewa.Hujasoma comments zilizoandikwa huko juu na hata wengine kuhusu Evidence ya ahadi, au unataka nikuandikie yakwako peke yako
Tunagonga, tunasepa. Unasemaje?Sasa kama ni viruka njia huwa mnawatongoza wa nini in the first place?
Kwahiyo na huyo mwanaume naye anaenda kufungua mashitaka wakati moyoni mwake anajua kabisa hakuwa na mpango wa kumuoa huyo mwanamke haoni hata haya sasa alitaka mwanamke afanyaje?
Tunagonga, tunasepa. Unasemaje?
This fucking world is so unfair at times, wote wake kwa waume huchezeana na kupotezeana muda.
Mwanaume anaweza kumpotezea muda msichana huku akimuahidi ahadi za uongo lakini dhamira serious haipo hata mabinti wapo ambao hudanganya na kufikia hata kufadhiliwa mambo makubwa kama kugharamiwa masomo au michongo ya overseas huko mioyoni mwao wanajua fika hawana nia ya dhati kwa kuwa wale wanaowataka huwa hawana uwezo wa kuwasaidia hivyo hutumia wanaume wenye kuweza kuwasaidia kama madaraja tu.
Try to think beyond your fixed framework, hii hii jamii kuna wanaume wameingia mikenge kwa ahadi za kutapeliwa(nina mifano ya dhahiri mingi kwenye hili) na mpaka wengine kuyumba kiuchumi kwa ahadi hewa za kukubalika mipango ya kuoana na giliba nyingine nyingi tu za mapenzi ya kilaghai.Hivi mwanamke anawezaje kumchezea mwanaume? Na mwanaume naye anasimama kabisa mbele za watu anasema kachezewa na mwanamke?
Kwenye jamii hii hii ya kibongo ambayo mwanamke aliyetembea na wanaume wengi anaonekana malaya huku mwanaume aliyetembea na wanawake wengi anaonekana kidume au unazungumzia jamii ipi? Haiwezekani!
Walahi apa watafanikiwa wachache ambao wako serious na wanacho kifanya na shule kidogo inasaidia...i call them ..women of principles..Ukimtongoza mdada anakwambia kama utanioa sawa vinginevyo sitaki maana yake tayari yeye mwenyewe ameshaleta maombi kwako kuwa umuoe sasa ni wewe kukubali au kukataa ikitokea umekubali maana yake maombi yake yamekubaliwa hapo sasa badae akimpata mwingine akabadili mawazo basi akaamua kwenda kwa mwingine sasa ni wewe mwanaume kwenda kumfungulia mashtaka kumbuka hizi ahadi nyingi hazina maandishi.
Try to think beyond your fixed framework, hii hii jamii kuna wanaume wameingia mikenge kwa ahadi za kutapeliwa(nina mifano ya dhahiri mingi kwenye hili) na mpaka wengine kuyumba kiuchumi kwa ahadi hewa za kukubalika mipango ya kuoana na giliba nyingine nyingi tu za mapenzi ya kilaghai.
Wanaume ukichunguza ndiyo wanaongoza kuonekama mazoba katika mahusiano hence those humiliating codes like buzi,danga, sponsor and the likes are so damn common.
Bila ya kumsahau Mwajabu toto kunyakunya.Walahi apa watafanikiwa wachache ambao wako serious na wanacho kifanya na shule kidogo inasaidia...i call them ..women of principles..
mambo ya kisheria yanaenda na Clear Documentations na Ushahidi wa kutosha kabisa na uwezo wa mtu kujieleza mbele ya mahama au kutafuta mwakilishi atakae fanya vile inatakiwa....sasa njoo uku kwa kina Mwajuma ndala ndefu..Aisha mpododo na Kulusumu haya mambo mmmh....
Ofcourse nimekupata mkuu logic yako..kwa kauelewa kadogo niliko nako kwenye somo la Law....ukizungumzia definition ya Ahadi ya ndoa hii ilitakiwa iwekwe clear ikistipulate maana halisi na maswala ya conditions wakati wa makubaliana mfano both parties lazima wawe wana akili timamu ikijumuisha physical and mental fitness...isitokee mmoja wapo au wote wamelewa....Wote wawe wameamua kwa nia na utayari wao na isiwe shinikizo from external forces like parents,friends etc....na mambo mengine kama haya yalitakiwa yawe kwenye definition ya Ahadi ya ndoa tusichukulie poa and this is where most of people make a biggest mistake mtu anaelewa na kufanya mambo kwa mazoea....Bado hujatoa definition ya kisheria ya ahadi ya kuoa/ kuolewa.
Kwa mfano, kuna tofauti kati ya mtu anayefanya sherehe na kumvalisha mchumba pete na kutangaza uchumba huo magazetini na kanisani na mtu ambaye amekutana na mwenzake siku ya kwanza, akiwa amelewa, akiwa na mshawasha wa mapenzi ya ghafla, akatamka "wewe mtoto mzuri kweli, nataka kukuoa" kabla hata ya salamu.
Sasa, hapo tuseme kwamba hao wawili wote wameahidi kuoa sawa?
Sister, wanawake wote mkisema hamtoi, hakuna mwanaume atazini. Ama mkisema sikupi hadi unioe...mi ntapata wapi?Tatizo mko cheap sana....so tunaendelea kuwaita viruka njia.Sasa kama ninyi ndiyo mnawagonga halafu mnasepa kwanini mnawalaumu na mnawaita viruka njia?
Na je mwanaume ambaye naye anagonga na kusepa ndiyo yuko sahihi na hana makosa?
Hapana. Kuna watu wanavishana pete kabla hawajaenda kwa wazazi? Imekaaje?Msichana hawi mchumba wako mpaka pale utakapopeleka POSA kwa wazazi au walezi wake. Posa yako ikikubaliwa na wazazi, msichana akakuridhia, utamvisha pete... na tangu hapo nyie wawili ni wachumba. Huyu ndio anaweza kukushitaki kuwa umevunja ahadi ya ndoa, sio viruka njia ambao hata jamaa na familia hawawafahamu
Wengine yatima hawana wazazi kabisa.Hapana. Kuna watu wanavishana pete kabla hawajaenda kwa wazazi? Imekaaje?
[emoji23][emoji23]kunyakunya toto tunduBila ya kumsahau Mwajabu toto kunyakunya.