Kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa: Sheria inasemaje?

Kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa: Sheria inasemaje?

Sasa kama ninyi ndiyo mnawagonga halafu mnasepa kwanini mnawalaumu na mnawaita viruka njia?
Sijamlaumu yeyote, kiruka njia ni type ya mtu sio lawama.

Na je mwanaume ambaye naye anagonga na kusepa ndiyo yuko sahihi na hana makosa?
Yupo sahihi. Si kila mwanamke anafaa kuoa. Kiruka njia hafai kuoa, kiruka njia ni tatizo kujenga naye mahusiano yenye muendelezo. Kanuni sahihi ya kutafuna chewing gum ni SH&R = Succeed, Hit and Run.

Labda, huelewi kiruka njia yukoje pengine ndio maana unapanic: kiruka njia ni type ile ya mtu mke mwenye macho yenye kuona material things kuliko mahusiano yenyewe. Huyu ukifahamiana naye leo tu, kesho kashafika mfukoni kwako...hii chapa, tupa.
 
Sasa ndiyo nimeuliza mwanaume anayechapa na kuacha hao viruka njia ndiyo anafaa kuoa na kupata mke mwema?
Sijamlaumu yeyote, kiruka njia ni type ya mtu sio lawama.


Yupo sahihi. Si kila mwanamke anafaa kuoa. Kiruka njia hafai kuoa, kiruka njia ni tatizo kujenga naye mahusiano yenye muendelezo. Kanuni sahihi ya kutafuna chewing gum ni SH&R = Succeed, Hit and Run.

Labda, huelewi kiruka njia yukoje pengine ndio maana unapanic: kiruka njia ni type ile ya mtu mke mwenye macho yenye kuona material things kuliko mahusiano yenyewe. Huyu ukifahamiana naye leo tu, kesho kashafika mfukoni kwako...hii chapa, tupa.
 
Mtu akishafikia majority age kumlazimisha wengine wachukue dhamana juu yake ni utumwa.

Kwa hiyo kama mtu kagombana na familia yake kajitenga asioe au kuolewa?
Ninazungumzia desturi zetu, si lazima zifuatwe na watu wote. Lakini jiulize, utakaponiambia fulani ni mchumba wako, una namna ya kumtofautisha na girlfriend au boyfriend bila kuwa mmefikia stage fulani rasmi ya mahusiano? Maana sikatai hata hiyo ndoa ina tafsiri nyingine bubu bubu kama hizo, kwamba ukiishi pamoja kinyumba kwa zaidi ya miezi 6 mnatambulika kama mume na mke, je, kuna namna ya kuuthibitishia umma au mamlaka kuwa mimi na huyu tuna urafiki wa muda fulani kwa hiyo tu wachumba?
 
Ninazungumzia desturi zetu, si lazima zifuatwe na watu wote. Lakini jiulize, utakaponiambia fulani ni mchumba wako, una namna ya kumtofautisha na girlfriend au boyfriend bila kuwa mmefikia stage fulani rasmi ya mahusiano? Maana sikatai hata hiyo ndoa ina tafsiri nyingine bubu bubu kama hizo, kwamba ukiishi pamoja kinyumba kwa zaidi ya miezi 6 mnatambulika kama mume na mke, je, kuna namna ya kuuthibitishia umma au mamlaka kuwa mimi na huyu tuna urafiki wa muda fulani kwa hiyo tu wachumba?
Hakuna sheria inayolazimisha ruhusa ya wazazi kuoa/kuolewa mtu akishafikisha majority age. Nchi inaendeshwa kwa sheria, desturi kila kabila lina zake tofauti.

Kuna watu wanaoa wake wengi.

Kuna watu wanaoa wake wanne mwisho.

Kuna watu wanaoa mke mmoja kwa wakati.

Wote wamerasimishwa kisheria na ndoa hizi zinatambulika kisheria.

Sasa hiyo desturi ya kulazimisha ndoa ibarikiwe na wazazi imerasimishwa wapi kisheria? Au unataka kufanya mila na desturi, kitu cha hiyari na kisicho na muafaka, ziwe kitu cha lazima kama sheria?
 
Hakuna sheria inayolazimisha ruhusa ya wazazi kuoa/kuolewa mtu akishafikisha majority age. Nchi inaendeshwa kwa sheria, desturi kila kabila lina zake tofauti.

Kuna watu wanaoa wake wengi.

Kuna watu wanaoa wake wanne mwisho.

Kuna watu wanaoa mke mmoja kwa wakati.

Wote wamerasimishwa kisheria na ndoa hizi zinatambulika kisheria.

Sasa hiyo desturi ya kulazimisha ndoa ibarikiwe na wazazi imerasimishwa wapi kisheria? Au unataka kufanya mila na desturi, kitu cha hiyari na kisicho na muafaka, ziwe kitu cha lazima kama sheria?
Inaelekea unapenda ligi dadaangu, kuna sehemu nimesema ni sheria? Nimesema ni DESTURI na sio lazima zifuatwe na watu wote. Nilichokuwa najaribu kusema ni kuwa, ukiziondoa hizo desturi, hakuna utaratibu wowote mwingine rasmi wenye kuweza kufanya mtu na mtu watambulike kuwa wachumba.

Leo hii nikikugegeda utasema nilikuahidi kukuoa? Lakini utaona tofauti kidogo endapo nilikuja kwenu nikaleta barua ya posa.
 
Inaelekea unapenda ligi dadaangu, kuna sehemu nimesema ni sheria? Nimesema ni DESTURI na sio lazima zifuatwe na watu wote. Nilichokuwa najaribu kusema ni kuwa, ukiziondoa hizo desturi, hakuna utaratibu wowote mwingine rasmi wenye kuweza kufanya mtu na mtu watambulike kuwa wachumba.

Leo hii nikikugegeda utasema nilikuahidi kukuoa? Lakini utaona tofauti kidogo endapo nilikuja kwenu nikaleta barua ya posa.
First things first, mimi si dada. Tafadhali nitake radhi.
 
Uzi huu ungewekwa MMU ungenoga maana kule Kuna wahanga wengi wa Mambo haya
 
Back
Top Bottom