Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu MUTUYAMUNGU, kiukweli kabisa ma DC ni muendelezo tuu wa a colonial legacy, they should have been redundered long ago!. Wakurugenzi can replace them.Ulisema hutaki ukuu wa wilaya sasa inakuwaje mkuu?!
Kwa vile ma DC wapo kikatiba na kisheria, then ni waheshimiwa wetu halali ila sio kila mtu anaweza kuwa DC mzuri. Kuna wengine can do more than just being a DC!.
P