OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 113
- 172
Fupakola (Clavicle) ni mfupa unaounganisha mkono na mwili, huitwa Mfupa wa Kola (collarbone), ni mara chache sana kuvunjika kwa muundo huu wa mfupa.
Wanaume huathirika zaidi kuliko wanawake. Kuvunjika kwa kawaida husababishwa na majeraha ya michezo au ajali za barabarani au pigo kali la kushtukiza usawa wa bega.
Kuvunjika kunaweza kuumiza mishipa ya damu, mishipa ya neva na mshipa wa mapafu (pulmonary artery).
Wanaume huathirika zaidi kuliko wanawake. Kuvunjika kwa kawaida husababishwa na majeraha ya michezo au ajali za barabarani au pigo kali la kushtukiza usawa wa bega.
Kuvunjika kunaweza kuumiza mishipa ya damu, mishipa ya neva na mshipa wa mapafu (pulmonary artery).