Kuvunjika kwa uchumba

Ahaaahaaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aseee
 
Mahari lazima irudishwe vinginevyo huyo ni mkeo. Vijana wakizazi kipya mambo haya ya jadi hamuelewi mnachukulia poa..
 
"Mpaka mtu unaenda kudai mahari urudishiwe tayari wewe ni usie na maamuzi sahihi na pia wewe ni masikini na una muda wa kupoteza"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au ndio weye? Umekuja na gia namba 5.. tueleze ilikuajekuaje ukampiga chini mpenzi wako?

Saint Anne
Ushawahi kupata feelings za kumchoka mtu? Yaan unaanza kumuona wa kawaida alafu wa kawaida tena!!
Hakushtui tena, hamna maajabu. Unamuona yupo yupo tu kama zezeta!!🤣🤣

Stage hii malaika wa Bwana wasipoingilia kati ndiyo unakuta yanatokea kama ya mleta mada.
 
Haha ha ha ...mquote umbishie uone[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee!!!
Yale matusi yake unadhani nayataka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nikimquote huwa najihami mapema kwamba asinitukane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jamaa anasindikiziaga na matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…