[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee!!!
Yale matusi yake unadhani nayataka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nikimquote huwa najihami mapema kwamba asinitukane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa anasindikiziaga na matusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike mwezi wa 9...
Aririri ririz wa ririz π€£π€£π€£
Mahari lazima Vijana wakizazi kipya mambo haya ya jadi hamuelewi mnachukulia poa..
Poa Diego πDepal mambo?
Dadae ?!! We muarusha? Au mkaazi? πNimeona nikuite mama na sio dadae, au nakosea π€£
Umepatia kabisa mkuu [emoji4]Nimeona nikuite mama na sio dadae, au nakosea [emoji1787]
Poa Diego π
Unamshauri nini mtoa mada? Kama mahari wajomba wameshaikula na mchumba hamtaki. Kifuatacho kwa mtoa mada?
Dadae ?!! We muarusha? Au mkaazi? π