Kuvuta n'ge ili kufikia ulevi ni tatizo linalokua kwa kasi Asia

Bora ili vijana warudi mikoani labda wakiona mashamba wataacha kuamini instagram itawafanya wapate hela bila mpango
 
Huu uzi hauna faida kwenye jamii zaidi ya hasara kwa vijana wanaopenda kuiga.
Taifa litapoteza nguvu kazi kwa sababu ya ulevi wa mdudu nge
 
Huu uzi hauna faida kwenye jamii zaidi ya hasara kwa vijana wanapenda kuiga.
Taifa litapoteza nguvu kazi kwa sababu ya ulevi wa mdudu nge
Mada haijaletwa kwa lengo la kuhamasisha, mtu akiamua kujaribu ni matakwa yake na akipata hasara ni juu yake mwenyewe
 
Kitu kikishageuka kuwa fursa huwa uoga unatoweka koboko ni nyoka mkali sana ila tu ilivyotokea fursa walitafutwa hadi walianza kujificha porini kabisa.
Kwa lengo la kibiashara wanaweza kujaribu, ila kwa matumizi ya ulevi wengi wataogopa kujaribu
 
Halafu kwa ulevi huo,washindwe kuchinja watu wanaokinzana nao mawazo?Bangi,heroin nk vyote vyao.
 
Ngoja nimtafute mwanangu yeye ni TESTA ajaribu tuanze na nusu n'ge au kale ka mkia tu
Nadhani kamkia ndo katakuwa na nguvu, na ukimchoma ananukia sana km panzi, utotoni tumewachoma sana sio kwa lengo la kuvuta ila km kuwaadhibu, halafu hayo meusi makubwa hata hayana sumu km vile vya kahawia tena upate kanakotaga,,, lazima mfe
 
Kwa lengo la kibiashara wanaweza kujaribu, ila kwa matumizi ya ulevi wengi wataogopa kujaribu
Na kimsingi kuna vitu haina haja hata ya kujaribu sasa kitu ambacho ukitumia kuna nafasi kubwa sana ya kupoteza maisha, ila sisi huku nao tuna vichwa vigumu mno kuelewa kuna watu watataka waone.
 
Na kimsingi kuna vitu haina haja hata ya kujaribu sasa kitu ambacho ukitumia kuna nafasi kubwa sana ya kupoteza maisha, ila sisi huku nao tuna vichwa vigumu mno kuelewa kuna watu watataka waone.
Pia ukitumia unaanza kupata maumivu makali, kwaiyo mtu akitaka kujaribu ajiandae na hayo maumivu ya mwili mzima
 
Nadhani kamkia ndo katakuwa na nguvu, na ukimchoma ananukia sana km panzi, utotoni tumewachoma sana sio kwa lengo la kuvuta ila km kuwaadhibu, halafu hayo meusi makubwa hata hayana sumu km vile vya kahawia tena upate kanakotaga,,, lazima mfe
Ni kweli kale ka mkia ni dili halafu hayo makubwa yanafaa kwa kuchanganyia tu ha haa!
 
Wakati duniani wanalewa kwa nge, nyoka, vyura. Tanzania kumeingia ulevi wa kulewa kwa kutumia "duburi".

. Duburi = tundu la kutolea haja kubwa.
We umeacha kwani kuliwa tackle???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…