Kuwa blacklisted kiutumishi

Kuwa blacklisted kiutumishi

Jitsu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
205
Reaction score
191
Wakuu habari zenu,

Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza hapo juu

Je, hi kitu inayoitwa kuwa blacklisted kwa employee kutokana na tukio ulilofanya katika ajira yako iliyopita ni kweli???

Nauliza sababu I have a brother alikuwa muajiriwa katika taasisi fulani ikatokea tukio la wizi lililosababishwa na internal staffs na lilihusisha section yake.

Baada ya tukio na hatua zote kufuatwa ikiwemo wengine kukaa lupango ikawa termination kwa wote waliokuwa involved directly or indirectly.

Sasa shida ni kwamba ni mwaka wa tano sasa hajaitwa interview yoyote msoto mkali.

Nasikia kwa sheria za Tanzania hi kitu inayoitwa blacklisting or kuzuia your previous employee from obtaining another job ni illegal

Shida ni kwamba hawezi kulalamika wala ku-sue popote kwa sababu there is no vivid evidence that he has been blacklisted by his previous employer.

Wajuvi wa mambo please tujuzane nini kinaweza fanyika mtu akiwa kwenye fungu hilo?

Je, ni kweli hii kitu ipo?Maana imebaki kama myth,hakuna uthibitisho kwamba kweli yuko blacklisted?

Wataalamu wa sheria na wahanga waliokwishapitia katika hali hii mtueleze mlivyotegua hiki kitanzi.
 
Njoo in box nikuelekeze aende UTUMISHI NA UTAWALA BORA akaonane na myu fulani amuangalie.
 
Ipaswa kupambana na kesi mpaka ilete majibu.

Ujue ni kweli kama ulikuwa mtumishi hawawezi kukupa namba nyingine mpya lkn kama unasababu za msingi tokana na termination ya ajirayako hivyo unafuata taratibu za kurudi kazini baada ya kuwa nje ya ajira.

Kama sababu zako zinamashiko wanaweza kirudisha namba yako ukaendelea lkn kama ulitoka kimajanga lazima urudi ktk ushindi mfano kushinda kesi ulokuwa umetuhumiwa.
 
njoo in box nikuelekeze aende UTUMISHI NA UTAWALA BORA akaonane na myu fulani amuangalie.....
Ntashukuru Sanaa mkuu,ila alikuwa muajiriwa wa sekta binafsi sio serikalini
 
Ipaswa kupambana na kesi mpaka ilete majibu .

Ujue ni kweli kama ulikuwa mtumishi hawawezi kukupa namba nyingine mpya lkn kama unasababu za msingi tokana na termination ya ajirayako hivyo unafuata taratibu za kurudi kazini baada ya kuwa nje ya ajira .

Kama sababu zako zinamashiko wanaweza kirudisha namba yako ukaendelea lkn kama ulitoka kimajanga lazima urudi ktk ushindi mfano kushinda kesi ulokuwa umetuhumiwa
Huyu chief alikuwa mfanyakazi wa sekta binafsi mkuu
 
Kuna kufutwa ajira na kufukizwa kazi au kufutwa kazi.

Huyo ninaona kuhusu suala lake la kutokuitwa kwenye usaili ni la kawaida na kwamba halina uhusiano na termination yake. Ajipange kwa kuandika CV nzuri, barua nzuri ataitwa kwenye usaili atapata kazi. Ila kuongizwa kwenye utumishi wa umma atatakiwa kufuata hatua fulani ikiwemo kwenda ofisi ya katibu mkuu utumishi wa umma apate kibali.

Akifutwa ajira hawezi kupata kazi serikalini mpaka anazikwa.

Muulize vizuri barua yake ilisemaje. Ila ni wachache sana wanaofutwa ajira hapa Tanzania.

HR asiye na ofisi

Asante
 
Kuna kufutwa ajira na kufukizwa kazi au kufutwa kazi.

Huyo ninaona kuhusu suala lake la kutokuitwa kwenye usaili ni la kawaida na kwamba halina uhusiano na termination yake. Ajipange kwa kuandika CV nzuri, barua nzuri ataitwa kwenye usaili atapata kazi. Ila kuongizwa kwenye utumishi wa umma atatakiwa kufuata hatua fulani ikiwemo kwenda ofisi ya katibu mkuu utumishi wa umma apate kibali.

Akifutwa ajira hawezi kupata kazi serikalini mpaka anazikwa.

Muulize vizuri barua yake ilisemaje. Ila ni wachache sana wanaofutwa ajira hapa Tanzania.

HR asiye na ofisi

Asante
Nashukuru Sana kwa maelezo HR,lakini ni KWELI kwamba HR's mnakuwa na system ya kum-blacklist unethical employee?
 
Ni vigumu kupata kazi siku hizi - uwe unatoka chuo, uwe umefukuzwa kazi, uwe na kazi nyingine. Soko limejaa. Usitafute wachawi. Ukiwa na kazi ishikirie. Ukiondoka, ondoka na mtaji ili ufanye kazi zako binafsi.
Wakuu habari zenu

Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza hapo juu

Je, hi kitu inayoitwa kuwa blacklisted kwa employee kutokana na tukio ulilofanya katika ajira yako iliyopita ni kweli???

Nauliza sababu I have a brother alikuwa muajiriwa katika taasisi fulani ikatokea tukio la wizi lililosababishwa na internal staffs na lilihusisha section yake.

Baada ya tukio na hatua zote kufuatwa ikiwemo wengine kukaa lupango ikawa termination kwa wote waliokuwa involved directly or indirectly.

Sasa shida ni kwamba ni mwaka wa tano sasa hajaitwa interview yoyote msoto mkali.

Nasikia kwa sheria za Tanzania hi kitu inayoitwa blacklisting or kuzuia your previous employee from obtaining another job ni illegal

Shida ni kwamba hawezi kulalamika wala ku-sue popote kwa sababu there is no vivid evidence that he has been blacklisted by his previous employer.

Wajuvi wa mambo please tujuzane nini kinaweza fanyika mtu akiwa kwenye fungu hilo?


Je, ni kweli hii kitu ipo?Maana imebaki kama myth,hakuna uthibitisho kwamba kweli yuko blacklisted?


Wataalamu wa sheria na wahanga waliokwishapitia katika hali hii mtueleze mlivyotegua hiki kitanzi
 
Nashukuru Sana kwa maelezo HR,lakini ni KWELI kwamba HR's mnakuwa na system ya kum-blacklist unethical employee?
Hapana. Utumishi wa umma ndio wana taarifa za watu waliofukuzwa au kujifukuzisha kazi. Huwezi kuhukumiwa kwa kosa ambalo ulishahukumiwa.

Endapo kosa lako ni la kuifedhehesha nchi, uhaini and the same ndipo unawekwa black list sio kosa la udokozi
 
Nashukuru Sana kwa maelezo HR,lakini ni KWELI kwamba HR's mnakuwa na system ya kum-blacklist unethical employee?
Hii kitu haipo sekta binafsi. Serikalini kuna check number na namba za cheti Cha kidato Cha nne ambavyo vinakuwa katika mfumo......Kama umeharibu taarifa zinaendelea kuwepo
 
Ni vigumu kupata kazi siku hizi - uwe unatoka chuo, uwe umefukuzwa kazi, uwe na kazi nyingine. Soko limejaa. Usitafute wachawi. Ukiwa na kazi ishikirie. Ukiondoka, ondoka na mtaji ili ufanye kazi zako binafsi.
😂😂🤔🤔😪😪
 
So itakuwa ni uoga wake tu, maana ameshakata tamaa na kila akikaa anaachia mitusi mizito kwa muajiri wake
Hapana. Utumishi wa umma ndio wana taarifa za watu waliofukuzwa au kujifukuzisha kazi. Huwezi kuhukumiwa kwa kosa ambalo ulishahukumiwa.
Endapo kosa lako ni la kuifedhehesha nchi, uhaini and the same ndipo unawekwa black list sio kosa la udokozi
 
Hii kitu haipo sekta binafsi. Serikalini kuna check number na namba za cheti Cha kidato Cha nne ambavyo vinakuwa katika mfumo......Kama umeharibu taarifa zinaendelea kuwepo
Asante Sana kwa maelezo yako murua
 
Hali ya soko la ajira ilivyo ngumu lazima mtu hajiisi yupo blacklist in reality maisha ndio yame mblacklist🤔🤔🤔
Hii kitu niliiona kwenye mining watu walikua wanabankiziwa kesi enzi hizo na wabongo wenzetu wanashabikia, then wanaambiwa wamekua blacklisted kwenye mining zote za Tanzania. So sijajua kama ilikuia na effects kwao maana sikuweza kuwasiliana nao mpaka sasa nijue what has been the outcome /consequences kwao
 
Hali ya soko la ajira ilivyo ngumu lazima mtu hajiisi yupo blacklist in reality maisha ndio yame mblacklist🤔🤔🤔
Hii kitu niliiona kwenye mining watu walikua wanabankiziwa kesi enzi hizo na wabongo wenzetu wanashabikia, then wanaambiwa wamekua blacklisted kwenye mining zote za Tanzania. So sijajua kama ilikuia na effects kwao maana sikuweza kuwasiliana nao mpaka sasa nijue what has been the outcome /consequences kwao
 
So itakuwa ni uoga wake tu, maana ameshakata tamaa na kila akikaa anaachia mitusi mizito kwa muajiri wake
Mwambie amrudie Mungu,aache kulalamika sana kila Jambo na wakati wake na kusudi lake.
Akikata tamaa mwambie mkewe ataliwa na bodaboda maana yeye hana kipato.
 
Back
Top Bottom