Kuwa blacklisted kiutumishi

Kuwa blacklisted kiutumishi

Hii kitu niliiona kwenye mining watu walikua wanabankiziwa kesi enzi hizo na wabongo wenzetu wanashabikia, then wanaambiwa wamekua blacklisted kwenye mining zote za Tanzania. So sijajua kama ilikuia na effects kwao maana sikuweza kuwasiliana nao mpaka sasa nijue what has been the outcome /consequences kwao
Nami nilimshauri abadili fani yaani ikiwezekana atafute kazi tofauti na fani aliyokuwa anafanya mwanzo,maana nasikia Kuna sector Zina mchezo huo Kama banking,mining na NGOs ila ukifanikiwa kupata kazi nje ya previous sector unakuwa umevuka
 
Mwambie amrudie Mungu,aache kulalamika sana kila Jambo na wakati wake na kusudi lake.
Akikata tamaa mwambie mkewe ataliwa na bodaboda maana yeye hana kipato.
Ni kweli,..ila si unajua unapomuomba Mungu kwenye shida,unakuwa umetangaza Vita na shetani,Naye huamua kukaza KITANZI haswaaa
 
Hii kitu mara nyingi nimeiona kwa watumishi wa sekta za fedha na Afya hasa panapotokea wizi au misconduct ambapo kwa namna moja au nyingine ukamhusisha Mtumishi husika km sijakosea mabaraza yao ya kitaaluma au umoja wa waajiri una ripotiana na mhusika anakuwa blacklisted .
Nakumbuka ndg yangu mmoja alihusishwa na hiyo kitu ikabidi aache kabisa profession yake ya uhasibu na akabadili jina akaanza upya Ualimu luck enough ameenda mbali mpk sasa ni lecturer
 
Back
Top Bottom