Mi huwa sijui hawa makipa huwa wanacheza lini.Halafu unakubalije kuwa kipa wa akiba katika timu.Yaani usubiri hadi mwenzako aumie ndio na wewe ucheze.Hii ina maana umeshajiweka kuwa katika nafasi hiyo na umeridhika.
Mbona timu ziko nyingi kwa nini mtu usiende kikipiga katika timu zingine ambazo utakubalika kuwa kipa namba moja.Hii nafasi ya kipa wa akiba inatakiwa ifutwe kwa kuwa inadumaza kiwango cha mchezaji.
Basi afadhali ingekuwa wanapokezana kila baada ya mechi 2 au moja.
Mimi kwangu haaingii akilini kwenda uwanjani kama mtazamaji tu.Afadhali wachezaji wengine wa ndani wa akiba kuna siku wanaweza wakapata nafasi wakacheza.
Nashauri timu isitegemee kipa mmoja kila mechi wafanye kubadilishana ili kukuza kiwango.
Tulifanyie kazi .
Mbona timu ziko nyingi kwa nini mtu usiende kikipiga katika timu zingine ambazo utakubalika kuwa kipa namba moja.Hii nafasi ya kipa wa akiba inatakiwa ifutwe kwa kuwa inadumaza kiwango cha mchezaji.
Basi afadhali ingekuwa wanapokezana kila baada ya mechi 2 au moja.
Mimi kwangu haaingii akilini kwenda uwanjani kama mtazamaji tu.Afadhali wachezaji wengine wa ndani wa akiba kuna siku wanaweza wakapata nafasi wakacheza.
Nashauri timu isitegemee kipa mmoja kila mechi wafanye kubadilishana ili kukuza kiwango.
Tulifanyie kazi .