Kuwa kwenye makundi mengi ya WhatsApp ni ujanja au ushamba?

Kuwa kwenye makundi mengi ya WhatsApp ni ujanja au ushamba?

Umenifurahisha hapo kwenye umbea mkuu....
Inategemeana na status yako. Kuna watu mnalishwa na wazazi haudaiwi kodi ya nyumba, haudaiwi ada ya mwanao ama mdogo wako, haudaiwi hela ya matumizi ya nyumbani kwako, so hata ukiwa na group moja sio ishu. Biashara siku hizi imehamia kwenye magroup ya telwgram na whatsap na mpesa, tigo pesa nk. So mm ninayo kama 25 kuna ya kazini, familia, group moja tu la kupiga umbea nalo huwa halina post hata wiki nzima
 
Kiufupi huwa siendekezi hizo mambo... Hasa nikiwa na niliesoma nae ananisaidia nini kwa mfano... Huyo naefanya nae kazi kwani hatuonano ofisin mpk tukutane kwenye group... Pia siendekezi siasa maana ni ujinga tu naona.. Mambo ya kanisa huwa nayamaliza kanisani sio kwenye groups mkuu ni hayo tu... Englishlady
Basi bado mshamba sana.

Wafikiri kila kitu lazima kikusaidie vingine ni socialization tu.

Kwenye grups za watu mliosoma nao kwakweli huwa tunasaidiana kwenye shida na Raha..watu hukusanya mamilioni kusaidia wenzao.
Waweza jiona una hela sana lkn Kuna wakati utaahitaji msaada
Hayo ya kanisani...huwa tunajunza neno la Mungu kila siku na Mambo mengine ya imani...sasa wewe unasubiri kanisani tu...pole sana.

Anyway haya Mambo ni mtazamo tu...Kuna mwingine ukimwambia habari za JF anakushangaa hataree wakati mie naona it's the best social media
 
Kwani kuna ulazima niwe na group la niliosoma nao mkuu.... Hakuna sababu za msingi km hakuna ulazima maana tulishamalizana nao huko huko school km ni wa msingi nadhan sio lazima tukutane kwa group..
Kwa urahisi zaidi kuwasiliana na wadau wengi uliosoma nao iwe school or chuo, mojawapo n njia hiyo ya grps ndo huko utapata michakato mingi ya kiofsi na kibiashara na mambo km hayo mengi. So m naona kuwa na grps nyingi ni kujua mengi pia ila ziwe grps za maana cyo hzo za kungonoka.
 
Ni kweli mkuu usemalo ila hili naona ilikua hapo mwanzo sio sasa mana ukitathimin siku hizi sio km awali hata mie hapo awali nilikua mpenz sana wa hizi group tofaut tofaut na nikimake more money through dat but kwasasa mambo yamebadilika kidgo mkuu mtu anaanzisha tu group akijisikia na kusambaza link ovyo then ukitaka kujoin ni upupu tu tofaut na akichokilenga mhusika.... So ndio maana naona km ushamba sasa
Basi bado mshamba sana.

Wafikiri kila kitu lazima kikusaidie vingine ni socialization tu.

Kwenye grups za watu mliosoma nao kwakweli huwa tunasaidiana kwenye shida na Raha..watu hukusanya mamilioni kusaidia wenzao.
Waweza jiona una hela sana lkn Kuna wakati utaahitaji msaada
Hayo ya kanisani...huwa tunajunza neno la Mungu kila siku na Mambo mengine ya imani...sasa wewe unasubiri kanisani tu...pole sana.

Anyway haya Mambo ni mtazamo tu...Kuna mwingine ukimwambia habari za JF anakushangaa hataree wakati mie naona it's the best social media
 
Kwa urahisi zaidi kuwasiliana na wadau wengi uliosoma nao iwe school or chuo, mojawapo n njia hiyo ya grps ndo huko utapata michakato mingi ya kiofsi na kibiashara na mambo km hayo mengi. So m naona kuwa na grps nyingi ni kujua mengi pia ila ziwe grps za maana cyo hzo za kungonoka.
Nimekuelewa mkuu ila binafsi nimejiajili niko full en biashara yang haiitaji kujitangaza kiasi icho mpk lazima niwe na group et so nna group moja tu la kifamily coz ndo muhim zaid kwangu mengine naona ni kupoteza muda tu but hii ni binafsi so kwa maelezo yako pia km inakusaidia na kukuingizia kipato we yaongeze hata yafike mia kabisa mkuu.... But binafsi idnt like
 
Mkuu nilitaka niseme wewe mshamba ila nikaona sio hekima kwenye kitu cha kukuweka sawa tu, simply utanielewa binafsi mimi nina group kama 60 hivi ninamambo mengi najihusisha nayo ila baadhi ya status zangu ni Mwanafunzi wa chuo, Mjasiriamali na Dalali jumla ya ishu izi zangu zote ndio zilizo kwenye magupu hayo niliyonayo mkuu, uyo ni mimi. Sasa mwengine hujui ana status gani ambayo ni kawaida au manufaa kwake kuwa na group au huwenda tatizo ni mentality iliyopo kichwani kwako mkuu kuhusu group ndipo tatizo litaisha.

Nipo kwenye group moja la ujasiliamali link zake zipo sana humu JF na ndipo nilipo pata Link ya kujiungia kuna mjasiriamali anajiita JAGUAR anakwambia yeye ana group azipungui 200+ na group hizo ndizo zinachangia asilimia kubwa ya market na network ya watu kwenye business zake, kwenye group hilohilo kuna mdau anajihusisha na Agro input alipata wateja ambao wadau wanaojihusisha na kilimo vipo vingi.

Nipo na group moja ambalo limeanza kawaida na Link yake nimepata humuhumu sasahivi lishajisajiri kisheria kama kampuni na mwakani linaanza miradi mbalimbali.

Nina group lingine nimepata Link yake humuhumu tume meet mala kadhaa tumetengeneza Website teyari ni tunajihusisha na IT tumeanza na biashara moja sitaki itaja.

Kimsingi utakuwa na group ambalo linahusiana na ishu unajihusisha nazo kwenye maisha yako, simply ukiwa na group 50 inamaana wewe una network ya watu wasiopungua 3000 ambao unaweza watumia unavyotaka wewe.

Kama nilivyokwambia pia mie dalali nina bidhaa yangu moja nimeitangaza jana hadi sasa nina wateja hawapungui 20 wamenicheki.

Kimsingi vipo vitu vingi ila utaelewa endapo hutaacha mentality za wasio na elimu kuhusu group za wasapu na mitandao kwa ujumla.

NB: kama hauna group hata moja la whatapp inamaana wewe huna interest au kujihusisha na kitu chochote hapa Duniani.
True
 
Binafsi nna group moja tu la family...
Huwa nawashangaa sana wale wenye groups karibu 50+ za Whatsapp hivi huu ni ujanja au ni ulimbukeni? Isije kuwa mie ndio mshamba?!
Kama anamagroup ya sijui utamu,sijui mapenzi,na mengine ya namna hiyo basi ni ushamba lakin sio kila mwenye magroup mengi ni mshamba maana mengine ni kwa manufaa,
 
Mkuu nilitaka niseme wewe mshamba ila nikaona sio hekima kwenye kitu cha kukuweka sawa tu, simply utanielewa binafsi mimi nina group kama 60 hivi ninamambo mengi najihusisha nayo ila baadhi ya status zangu ni Mwanafunzi wa chuo, Mjasiriamali na Dalali jumla ya ishu izi zangu zote ndio zilizo kwenye magupu hayo niliyonayo mkuu, uyo ni mimi. Sasa mwengine hujui ana status gani ambayo ni kawaida au manufaa kwake kuwa na group au huwenda tatizo ni mentality iliyopo kichwani kwako mkuu kuhusu group ndipo tatizo litaisha.

Nipo kwenye group moja la ujasiliamali link zake zipo sana humu JF na ndipo nilipo pata Link ya kujiungia kuna mjasiriamali anajiita JAGUAR anakwambia yeye ana group azipungui 200+ na group hizo ndizo zinachangia asilimia kubwa ya market na network ya watu kwenye business zake, kwenye group hilohilo kuna mdau anajihusisha na Agro input alipata wateja ambao wadau wanaojihusisha na kilimo vipo vingi.

Nipo na group moja ambalo limeanza kawaida na Link yake nimepata humuhumu sasahivi lishajisajiri kisheria kama kampuni na mwakani linaanza miradi mbalimbali.

Nina group lingine nimepata Link yake humuhumu tume meet mala kadhaa tumetengeneza Website teyari ni tunajihusisha na IT tumeanza na biashara moja sitaki itaja.

Kimsingi utakuwa na group ambalo linahusiana na ishu unajihusisha nazo kwenye maisha yako, simply ukiwa na group 50 inamaana wewe una network ya watu wasiopungua 3000 ambao unaweza watumia unavyotaka wewe.

Kama nilivyokwambia pia mie dalali nina bidhaa yangu moja nimeitangaza jana hadi sasa nina wateja hawapungui 20 wamenicheki.

Kimsingi vipo vitu vingi ila utaelewa endapo hutaacha mentality za wasio na elimu kuhusu group za wasapu na mitandao kwa ujumla.

NB: kama hauna group hata moja la whatapp inamaana wewe huna interest au kujihusisha na kitu chochote hapa Duniani.
Umenikumbusha mbali ulivo andika hilo jina la huyo bwana jaguar
 
Me nadhan ungeenda ukawauliza watu wa instagram aya maswal ndo watu wana 450k na hata hajulikan
 
Back
Top Bottom