Kuwa makini na Apps za Mikopo

sio lazima kwanini wawe waongo
Kila mtu anakula urefu wa kamba yake mfano mm niliwakopa pesa x 25k nikarudisha 31k mara ya pili nikakuta wameongeza dau nikakopa 75k hapo ndipo walipoleta miyeyusho nikaachana nao hata bila kuwalipa wanadai mpka wamechoka wakitoa vitisho na mm nawapa vitisho. Kwahyo umechelewa wamekuweza kaa kimya unatakiwa uwaotee kahela fulani alafu wateme hawana jipya. Kipendi cha nyuma nilienda vizuri sana na tala mwishoe wakaleta utapeli wa kijinga nikawakopa na sikuwalipa mpka leo kiufupi hawana hasara ila usisubiri wakuotee
 
Noma
 
Mm pesa x wamenidai mpka wakachoka mm ndio nikaanza kuwatongoza wale mabinti mwishoe wakaniconnect na wahudumu wa kiume hao ni balaa ukiwatania kidogo wanakutukana [emoji23][emoji23] kiufupi hizi mikopo nizamchongo tu
[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…