Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Ili Ukope huko yabidi uwe na vitu gani vya msingi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nida au chakura bcIli Ukope huko yabidi uwe na vitu gani vya msingi?
Soma maelekezo acha kukuruka kama umefumaniwaPromotion/tangazo tangazo
sio lazima kwanini wawe waongoKwani kukopa lazima
Kila mtu anakula urefu wa kamba yake mfano mm niliwakopa pesa x 25k nikarudisha 31k mara ya pili nikakuta wameongeza dau nikakopa 75k hapo ndipo walipoleta miyeyusho nikaachana nao hata bila kuwalipa wanadai mpka wamechoka wakitoa vitisho na mm nawapa vitisho. Kwahyo umechelewa wamekuweza kaa kimya unatakiwa uwaotee kahela fulani alafu wateme hawana jipya. Kipendi cha nyuma nilienda vizuri sana na tala mwishoe wakaleta utapeli wa kijinga nikawakopa na sikuwalipa mpka leo kiufupi hawana hasara ila usisubiri wakuoteesio lazima kwanini wawe waongo
Nasemaje nasemaje siwalipipole sana
NomaKila mtu anakula urefu wa kamba yake mfano mm niliwakopa pesa x 25k nikarudisha 31k mara ya pili nikakuta wameongeza dau nikakopa 75k hapo ndipo walipoleta miyeyusho nikaachana nao hata bila kuwalipa wanadai mpka wamechoka wakitoa vitisho na mm nawapa vitisho. Kwahyo umechelewa wamekuweza kaa kimya unatakiwa uwaotee kahela fulani alafu wateme hawana jipya. Kipendi cha nyuma nilienda vizuri sana na tala mwishoe wakaleta utapeli wa kijinga nikawakopa na sikuwalipa mpka leo kiufupi hawana hasara ila usisubiri wakuotee
Hapo sawaHata usipowalipa hakuna watalokufanya
Mm pesa x wamenidai mpka wakachoka mm ndio nikaanza kuwatongoza wale mabinti mwishoe wakaniconnect na wahudumu wa kiume hao ni balaa ukiwatania kidogo wanakutukana 😂😂 kiufupi hizi mikopo nizamchongo tuHata usipowalipa hakuna watalokufanya
[emoji16]Mm pesa x wamenidai mpka wakachoka mm ndio nikaanza kuwatongoza wale mabinti mwishoe wakaniconnect na wahudumu wa kiume hao ni balaa ukiwatania kidogo wanakutukana [emoji23][emoji23] kiufupi hizi mikopo nizamchongo tu
🤣🤣🤣Soma maelekezo acha kukuruka kama umefumaniwa
Mahakamani hawawezi kukupeleka sababu Riba zao si rafikiMm pesa x wamenidai mpka wakachoka mm ndio nikaanza kuwatongoza wale mabinti mwishoe wakaniconnect na wahudumu wa kiume hao ni balaa ukiwatania kidogo wanakutukana [emoji23][emoji23] kiufupi hizi mikopo nizamchongo tu
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuh hizo riba wanajipangia wenyewe Nchi haina BOT...Walikuwepo Tala wakakimbia.
Hawa nao watakimbia japo watakuwa wamefaidi maana riba za 20% si haba.
Eti ukope 1,000,000 ulipe 1.2 kwa wiki