Washashtuka
No za simu za watu wawiliWanahitaji vigezo gani ili wakukopeshe mkuu
Mimi wadhamini niliweka namba za uongo [emoji3]Pesa X Wana nidai 75k nilitaka kulipa kauli zao za kinyoko nikaacha kulipa na wakasema kadri na vyo Chelewa riba inpanda nikawajbu poa subrin nalipa walpga cm Sana nikaweka block all incoming call new number wakaanza piga kwa mzamin bro na
b mkubwa saiz wameacha wakaja wasap wakawa wanauliza kwa ukali unalipa au ulipi jibu haraka na ukijibu ovyo utaona cha Moto Nika waambia silipi na Nina kihitaji icho cha Moto kije nikipoze kiwa cha barid pumbavu ziiiii mpaka leo kauli zimewaponza
Ndio kwenye wadhamini usiweke mamba ya mtu unaemjua! Buni buni tu namba huwa inasaidia sana unapokuwa umeamua kutokuwalipa.Mimi wadhamini niliweka namba za uongo [emoji3]
Wanapiga siku saaaanaKwanini
Namimi nkiweka namba za uwongoNdio kwenye wadhamini usiweke mamba ya mtu unaemjua! Buni buni tu namba huwa inasaidia sana unapokuwa umeamua kutokuwalipa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseeWanapiga cimu kama hawana akiliView attachment 2660393
Hv ni kiwango gani cha riba kinaruhusiwa kisheria na BOT?Mahakamani hawawezi kukupeleka sababu Riba zao si rafiki
Mwisho 36% kwa mwakaHv ni kiwango gani cha riba kinaruhusiwa kisheria na BOT?
Chakura?[emoji15]Tumia chakura mkuu
Hawa 20% kwa weekMwisho 36% kwa mwaka
Mikwara tu hiyo,Mimi walishanipigia,wakatuma sms Kama hizo Hadi wakachoka.Mwishowe tukachokana tukapotezeana.UMEKUWA MTU WA KULAZIMISHWA KUFANYA MALIPO YA DENI LAKO KILA SIKU, MUDA HUU TUNAKUPA NAFASI YA MWISHO KULIPIA DENI LAKO SASAIVI, WEWE NI MTU MZIMA TUTAHAKIKISHA TAARIFA ZA UTAPELI ZINAFIKA KWA WATU WAKO WA KARIBU KAMA HAUTOFANYA MALIPO HAYO NDANI YA MASAA MAWILI...
EPUKA USUMBUFU, OMBA MENU LIPA SASA
KumbeMikwara tu hiyo,Mimi walishanipigia,wakatuma sms Kama hizo Hadi wakachoka.Mwishowe tukachokana tukapotezeana.
Duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee