Lipa kabla ya muda uliopangiwa.Ulifanyaje mpaka ukaweza kukopa mpaka lak 7 mm bado npo kweny ten tu
Usisubiri mpaka uwe na shida. Wewe kopa waingie laini, wakupandishie dau. ikishafika laki tano sita huko desh desh desh.......nadhani umenielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipa kabla ya muda uliopangiwa.Ulifanyaje mpaka ukaweza kukopa mpaka lak 7 mm bado npo kweny ten tu
Nida picha Moja ya selfie majina ya wadhamini watatu na namba zao za simuIli Ukope huko yabidi uwe na vitu gani vya msingi?
Hawataki picha yenye ndevu😂😂Wakuu , nimefika huku , sasa hizi mambo za ID ndo nini tena maana sisi wengine tuna namba za NIDA TUU vitambulisho bado au ndo nini tena wajameni ??,View attachment 2660583
Usijidanganye hizo hua wanaandika tu pale juu, ila huwezi pewa zaidi ya 25k kama ndo unaanza, na hapo kupewa ni bahati
Kwani ukiingiza namba ya NIDA inasumbua.?Wakuu , nimefika huku , sasa hizi mambo za ID ndo nini tena maana sisi wengine tuna namba za NIDA TUU vitambulisho bado au ndo nini tena wajameni ??,View attachment 2660583
Maliza process unakutane na chuma hikoKukopa laki mbili au nimekosea app ??View attachment 2660592au nimekosea app mazeeeeee ,, ila kuna information waliandika kuhusu namba ya malipo something like. 33xxxx ndo itakayo kuwa inatumika au jeee???
Dk 10 hiviInachukua muda gani mpka. Transaction ifanyike
KwaniniHatari sana
Naona hawakujua kuwa wewe ni mura, watajuta kukukopesha.Nida au chakura bc
DuhNaona hawakujua kuwa wewe ni mura, watajuta kukukopesha.
Pakua app ujioneeMkuu mbona haujibu mkopo unaanzia shiling ngapi?
App ipi?Pakua app ujionee
Ya jamii forumApp ipi?
Hauwezi kupata, kwa sababu ni wale wale.Hao pesa x nimewakopa jana 12,000, ngoja niwakope na hao cashx