Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona FIC umewaacha mkuu wale wazee wa kubetKuna matapeli Wengi Sasa hivi Mfano.
1. LBL
2. TERRAOIL
Wote lao ni moja
Wenye kutaka hela za short kati watawapata!Kuna matapeli Wengi Sasa hivi Mfano.
1. LBL
2. TERRAOIL
Wote lao ni moja
Hizo ndio ziro brain(Akili mfu)!Wakinga ndio waliwao .Kwenye jamii wapo watu kwao kutapeliwa ni kama maji tu hawatayaoga watayanywa,just imagine mtu anajua kabisa toka amekuwa na akili hajawahi kucheza mchezo wowote wa kubahatisha but anatumiwa tu text ......
“Bahati yako leo umejishindia 50mills maelekezo weka kiasi fulani cha fedha kwenye namba........ kisha utapewa maelekezo ya kupata zawadi yako” na mtu anatuma kweli hela kwa mtu asiyemjua anakaa anasubiri maelekezo ya kupata mill 50 za bure ambazo hajawahi kujaribu kuzipata wala kuzifanyia kazi
Wajinga sio wakinga ,samahani!Kwenye jamii wapo watu kwao kutapeliwa ni kama maji tu hawatayaoga watayanywa,just imagine mtu anajua kabisa toka amekuwa na akili hajawahi kucheza mchezo wowote wa kubahatisha but anatumiwa tu text ......
“Bahati yako leo umejishindia 50mills maelekezo weka kiasi fulani cha fedha kwenye namba........ kisha utapewa maelekezo ya kupata zawadi yako” na mtu anatuma kweli hela kwa mtu asiyemjua anakaa anasubiri maelekezo ya kupata mill 50 za bure ambazo hajawahi kujaribu kuzipata wala kuzifanyia kazi
NashangaaMbona FIC umewaacha mkuu wale wazee wa kubet
Alafu zile faida yake ndogo ili update faida ya shilingi elfu nane kwa siku inakubidi uweke 300k. Wakati Mimi Nishavuta 11k kwa elfu kumi na sita tu maAttach filesKuna matapeli Wengi Sasa hivi Mfano.
1. LBL
2. TERRAOIL
Wote lao ni moja
hata chadema ndio hao hao tuKuna matapeli Wengi Sasa hivi Mfano.
1. LBL
2. TERRAOIL
Wote lao ni moja

Utashangaa wanaopekeka hela zao kabla ya kutapeli wanakutukana.Kuna matapeli Wengi Sasa hivi Mfano.
1. LBL
2. TERRAOIL
Wote lao ni moja
Nimeshangaa sana kawaacha hao jamaa wakati ndio HEADQUARTERMbona FIC umewaacha mkuu wale wazee wa kubet