tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,323
Nilialikwa kwenye harusi. Nilpofika Hotelini nilikuta milango miwili. Mlango mmoja uliandikwa "NDUGU WA MUME" na nwingine uliandikwa "NDUGU WA MKE".
Nili ingia ule ulio andikwa ndugu wa mume, ndani nikakuta milango miwili mingine.
1. WANAUME
2. WANAWAKE
NikIngia ulioandikwa wanaume na bado nikakuta milango mingine miwili
1. WAGENI WENYE ZAWADI
2. WAGENI WASIOKUWA NA ZAWADI.
Nilo ingia ule ulioandikwa wageni wasio na zawadi nikajikuta niko nje ya Hoteli na nyuma ya mlango mliandikwa "KATIKA HALI HII NGUMU YA UCHUMI UNATAKA TU UJE NA UNYWE BILA ZAWADI - HAIWEZEKANI"
Nili ingia ule ulio andikwa ndugu wa mume, ndani nikakuta milango miwili mingine.
1. WANAUME
2. WANAWAKE
NikIngia ulioandikwa wanaume na bado nikakuta milango mingine miwili
1. WAGENI WENYE ZAWADI
2. WAGENI WASIOKUWA NA ZAWADI.
Nilo ingia ule ulioandikwa wageni wasio na zawadi nikajikuta niko nje ya Hoteli na nyuma ya mlango mliandikwa "KATIKA HALI HII NGUMU YA UCHUMI UNATAKA TU UJE NA UNYWE BILA ZAWADI - HAIWEZEKANI"