Kuwa makini unapokutana na Mtu uliyefahamiana naye mtandaoni

Kuwa makini unapokutana na Mtu uliyefahamiana naye mtandaoni

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210301_093634_0000.png


Unapopanga kukutana ana kwa ana na mtu ambaye mmefahamiana kupitia mtandao ni vyema ukachukua tahadhari kwa kuwa sio kila mtu ni mkweli kwa namna anavyojitamulisha kwako, umri, jinsia, na nia yake kwako.

Ikiwa ni lazima kukutana naye, fanya utafiti kuhusu mtu huyo ili ufahamu ukweli wake, lakini hiyo haitoshi kumuamini.

Ukiamua kukutana naye, kamwe usiende peke yako, wajulishe wengine unakokwenda, ni vyema mkakutana mahali pa umma na uwe na simu yako ikiwa hewani.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom