Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote waliochaguliwa vyuo vikuu na waliomaliza na wako makazini!je unasoma kozi ya ndoto yako au unafanya kazi ya ndoto yako
mi binafsi nimebahatika kuchaguliwa kozi ya ndoto yangu MD
mm hapana! Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria au muhasibu ila ndoto zimefutka kutokana na umaskin mpaka nimeamua kuweka education japokuwa cpend kuwa mwl
mm hapana! Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria au muhasibu ila ndoto zimefutka kutokana na umaskin mpaka nimeamua kuweka education japokuwa cpend kuwa mwl
yale maneno yoote na kuidharau UDOM kumbe unakwenda kusomea ualimu?? [/QUOTE
Kwan hyo co coz.........????? Acheni hzo mazee
kwan hiyo co coz
wote waliochaguliwa vyuo vikuu na waliomaliza na wako makazini!je unasoma kozi ya ndoto yako au unafanya kazi ya ndoto yako
mi binafsi nimebahatika kuchaguliwa kozi ya ndoto yangu MD
Ana deserve it!! Sa mtu mwenye kashfa kama huyo ulitaka aende Law tena MZUMBE/UDSM point atazitoa wapi kwanzayale maneno yoote na kuidharau UDOM kumbe unakwenda kusomea ualimu??
Kila Degree. ina umuhimu wake Mkuu, ndo maana ikaanzishwa.
hapana w dgree ya B.A PA ina faida gan mtaan kama c o kupga tempo ya civics na gs
Hio ni bonge la course..wala usijutie kuchaguliwa..utakuja kukumbuka maneno yangu one day..jamani mi nimechaguliwa mipango development economics, but ndoto yangu ilikuwa niwe muhasibu.
jamani mi nimechaguliwa mipango development economics, but ndoto yangu ilikuwa niwe muhasibu.
sina ndoto mm,chochote kitachokuja mbele yangu napita nacho.ndoto bongo!