Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 211
- 515
Kama kichwa kinachojieleza hapo, hivi ni kwanini wazazi wetu hasa wa kiume (namaanisha wakina baba) kadri wanavyokuwa wakubwa wanakuwa kama hawashauriki, hasa pale wanapopewa mawazo na watoto wao ambao wamekuwa wakubwa na wanaoa uhalisia wa maisha na changamoto.
Wengi wao huhisi watoto wanapowashauri wanachukua ile power yao waliokuwa nayo kwenye familia, hasa ile ya kusikilizwa na kutekelezewa kila wanalosema.
Je, huu ni mtizamo wangu tu au kuna mtu alishawahi kutana na hali hii. Wababa wengine wanaweza kuwa radhi ku-sabotage hata familia zao ili tu kufuata mawazo yao.
Wengi wao huhisi watoto wanapowashauri wanachukua ile power yao waliokuwa nayo kwenye familia, hasa ile ya kusikilizwa na kutekelezewa kila wanalosema.
Je, huu ni mtizamo wangu tu au kuna mtu alishawahi kutana na hali hii. Wababa wengine wanaweza kuwa radhi ku-sabotage hata familia zao ili tu kufuata mawazo yao.