Mmh hayaaaAnaijua kazi yake vizuri. Anajua customer base yake. Na si unaona mbunifu [emoji3][emoji3][emoji3], kwenye three some anavuta hela ndefu.
Ila possibility kama million 300 atakuwa anafanya na biashara nyingine haramu labda drugs
Dah... kihisabati ni rahisi..kama anapata laki9 kwa siku...hiyo ni wastani wa 15m kwa mwezi...180m kwa mwaka....900m kwa miaka5 atakayokuwa bado analipa...dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]300 Million kwa kuuza pussy, you must be kidding?
Dah... analipwa laki9 kwa siku[emoji23][emoji23][emoji23]Milioni 300 ????????
Dah...bosi ..umefikiri vibaya...tena kwa kifupi sana huku ukikwepa ukweli mchungu....Raha ya K kwa mwanaume lazima uinunue...ukipewa bure unakuwa mtumwa. Kiasili wanawake wote wanauza K...na siyo kuwakosea heshima...Ni haki yao...ni asili yao. Tofauti labda...wengine wanauza kihalali ..na wengine kiharamu....na ni kwa mujibu wa mila na desturi zao...Sasa kuuza K ndiyo uraha wa kuwa mwanamke??
Nadhani umewakosea heshima mama zetu...mwanamke staha, kujiheshimu na kujua nafasi yake. Hii ndiyo raha ya mwanamke.
Utakubali mama yetu(yako) aone raha kwa kujiuuza??????
Kwa hiyo mzee baba unashauri mama zetu, dada zetu na wake zetu waunge juhudi za kuuza bar huku wakiliwa na wakilipwa laki tisa kwa siku nao wawe na milioni 300 kwa account?Dah...bosi ..umefikiri vibaya...tena kwa kifupi sana huku ukikwepa ukweli mchungu....Raha ya K kwa mwanaume lazima uinunue...ukipewa bure unakuwa mtumwa. Kiasili wanawake wote wanauza K...na siyo kuwakosea heshima...Ni haki yao...ni asili yao. Tofauti labda...wengine wanauza kihalali ..na wengine kiharamu....na ni kwa mujibu wa mila na desturi zao...
Usijidanganye braza...unapolipa mahari...unamtoa dem out...unalipa bili za nyumbani .... au "babe nikuambie kitu..." kwa mwanamke asiyekuwa ndugu yako...kwa kifupi unanunua K...na hii siyo kosa...[emoji41]
Dah...bosi ....hujanielewa....maana yangu... vitabu vyote vya dini .... katiba za nchi zote..zinasisitiza juu ya "kumtunza" mwanamke. Usichokijua ni kwamba hizo gharama za "kumtunza" malipo yake ni K tu..ambavyo ni sawa kuinunua ..mwanamke anaweza kuamua awe na mteja mmoja au wateja wengi...ndiyo maana akiwa na mteja mmoja lazima waandikishiane mkataba awe na uhakika ili K yake isije mdodea...na hii siyo kwamba nawakosea adabu wanawake..ila jambo la kiasili...lisilozungumzwa....Kwa hiyo mzee baba unashauri mama zetu, dada zetu na wake zetu waunge juhudi za kuuza bar huku wakiliwa na wakilipwa laki tisa kwa siku nao wawe na milioni 300 kwa account?
Wakwangu hapana aseeh...nyie chukueni wenu.
Ni kauli nimeisikia nikiwa katika bar moja karibu na kumbi za bunge mkoani Dodoma, Yaani huyu mrembo alikuja mida ya sa 5 asubuh alipowaona wenzie akatoa burungutu la hela Kama mia 4 ama 5 ivi na kuwaonyesha wenzie.
Kwa kuwa nilienda jikon kuona aina ya samaki nikamwita Dada naomba usogee tukakaa kwa meza nikaona kusudi kukoleza stori niagize na kinywajii mim nikaita TBL yeye akanywa Heinken kwenye stori ndio akafunguka ....... Kweli Dunia ina siri nyingi sana nilijuta kujua kapataje pesa zile.....
kwanza yule demu alikua ni mtumia madawa ya kulevya pia anatumia dozi ya ARV na alitoka kulala na mh. ambaye ni kigogo ......baada ya kuagiza Kama bia 4 akaniambia nimekupenda please subiri niende nikaoge nakuja usijali hii bili nalipia Mimi ngoja nikaoge tafadhali usiondoke
nikaendelea kukaa akatoa Kama 50k akapewa balance yake na kuniacha pale sababu ilikua bado mapema nikasema leo ngoja nizijue siri za vigogo
Kiukweli kuna watu wanaishi maisha ya hatari sana demu akaniambia pesa walipewa Kama laki 9 ivi nyingine watapewa jioni na walikuwa wawili ndio mara zote huambatana na uyo kigogo
halalagi na demu mmoja.
kuna watu wengi wanatembea huku wamekufa....... deadly walking. kwanza aliniambia yeye kima cha chini kulala na mwanaume ni laki 3 na mtu pekee anayemtia bure ni dereva tax wake wa kila siku mwingine haiwezekani labda ampende mwenyewe na mim ni miongoni mwa tuliopendwa na yeye.
sikuonyesha uwoga nikajitia pombe ipo level nikawa nampapasa huku nikimsihi nina appointment na mpenz wangu lazima atakuja Ila nitamtafuta mda wa jioni akasisitiza niwah kwani jion haiwezekani.
mrembo alikuwa ni mweusi msukuma ana umbo kubwa na minyama sana ana kg Kama 120 mrefu kweli bonge sana.
nikasema hpa ni maji na mafuta mim sipend malnutrition species.
kilichokuja kunichosha zaidi kumbe yule mrembO amesoma na ana Degree ooooooh mama Yaani anajua anachokifanya na anajua anampataje mtu fulani mmmmmhhh
tembea na sema na watu ujue vitu kwanza ananiambia mim kwenye bank account yangu nina zaidi ya 300M na sina Business yeyote hapa mjin mim ni mhudumu wa bar tu Ila silipwagi mshahara najilipa mwenyewe.....LADIES ARE CRYZ MENS.ARE. MAD. .
Nimeshtuka kuwa nimekutana na mtu anayejiamin sana haogopi kufa na yuko tayari kufa muda wowote. nilichukua namba mpaka leo bado sijaifuta najiuliza inawezekanaje刚刚阿姨语言表达你女婿vv
Nami nimeshangaa, labda anatumia uchawi si bure
Hii story Sio chai wakuu na sikuambiwa kirahisi Kama mtu anavoweza kuzani kumbuka muuzaji ni msomi na anajua vitu vingi kuanzia siasa anaweza kuwapia ni member humu .......mpaka skendo za vigogo pia anaonekana Sio mgeni wa kupanda mwewe za nje ya Tz amewahi kufanya kazi yake Hiyo njee ya mipaka ya Tz na kulipwa kwa dolari.....mim niliamini kwani anakuambia hio bar kwake ni Kama ofisi ama kijiwe tu yeye anafanya kazi lakini halipwi mshahara hata Kama ni show off but ana exposure ya Dunia
Dah...bosi ...bado mnakwepa ukweli..hivi hauwezi ajiri mtaalam wa kufua?kutunza watoto? kukusafishia nyumba? Je hayo ndiyo matendo ya ndoa? Je na ukiajiri mtu wa kufanya hayo hauwezi kumhudumia mkeo?... mnanichekesha sana...bado nasisitiza wanawake wanauza "tendo la ndoa"....na wala siyo kosa...na wala siyo kwamba nawakosea adabu...ni asili ya mwanadamu....japo wengi wanafikiri kwa uoga...lakini ndiyo ukweli mchungu kwa binadamu[emoji41]Mkuu unapomtolea mahari au kumhudumia mkeo siyo kwamba unainunua k yake bali ni sehemu ya majukumu ambayo wanaume tuliagizwa kufanya kwa wake zetu yaani ni sawa tu ambavyo wao wanapika wanafua wanaosha vyombo wanafanya usafi wanatunza waume zao na wanalea watoto wao kazi ambazo kwa asilimia kubwa wanaume hatufanyi na bado tunaona kuwa hayo ni majukumu ya wanawake maana sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho letu ila wanawake hawakuambiwa hivyo nadhani ni mgawanyo wa majukumu tu ndo unafanya haya yote yatokee
Kwa sababu sisi tumeng'ang'ania kuwa hizo kazi nilizozitaja hapo juu ni za kike sisi wanaume hatupaswi kufanya na hata tukifanya ni mara moja moja sana na ni kama tunasaidia tu basi hata wao wanaona kuwa kazi za kutafuta hela kuhudumia mke kulipa bills zote na kulipa mahitaji yote ya watoto ni za kwetu na wao hawapaswi kufanya na wakifanya wanasaidia tu japo wapo wanawake wanaofanya ila wanafanya kwa sababu tu hawana jinsi ila siyo majukumu yao kwahiyo mkuu wewe kumhudumia mkeo ambaye na yeye anakuhudumia huko siyo kununua k
Dah....bosi....UMEOA?Mkuu hadi uajiri huyo mfanyakazi wa ndani maana yake ni kwamba mkeo yuko bize sana either ameajiriwa au kajiajiri kama ni hivyo basi ina maana hata yeye anaingiza pesa na hauwezi ukasema eti tangu mnaoana hadi mnakufa utakuwa hujawahi kutumia pesa ya mkeo hata kidogo huo ni uongo lazima na wewe atakupa tu kwahiyo ina maana kama akikupa basi na wewe unauza tendo?
Halafu hapa unasema tu kuwa utaajiri mfanyakazi lakini kumbuka pia hata akiwepo huyo mfanyakazi bado kuna majukumu mengine utataka mkeo akutumizie kama mume wake maana akitimiza mfanyakazi utaona ni kama anavuka mipaka na utataka kutembea naye na kumuona mkeo hafai kisa kila kitu anamuachia mfanyakazi kwahiyo bado tunarudi pale pale hayo majukumu haijalishi utaajiri mfanyakazi au la bado mkeo atayafanya tu na yatabaki kuwa majukumu yake na wewe jukumu lako litakuwa ni kumuhudumia mkeo kiuchumi kama yeye anavyokuhudumia kinyumbani
Kumbuka sisi wanaume ndo tuliambiwa tutakula kwa jasho letu ila wanawake hawakuambiwa hivyo na unatakiwa ujiulize pia hadi Mungu kumwambia mwanamke akutii na akuheshimu unadhani anatakiwa afanye hivyo bure bure tu kwako wakati hujamuumba wala hujamzaa? Sababu ya wao kuambiwa watutii na watuheshimu ni sababu ya majukumu makubwa tuliyoyabeba juu yao ya kuwahudumia kiuchumi ndo maana nikasema wewe kumpa mkeo hela ni jukumu lako yaani ni amri siyo ombi
Sasa hicho kitendo hauwezi kukibadilisha maana na kukiita kuwa ni kuuza na kununua k hata kama kwa mtazamo wako unaona hakina maana mbaya bado hakiwezi kuitwa hivyo maana kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua k na kutimiza majukumu yako yeye anakupa 'k' wewe unampa 'm' yeye anakuhudumia kinyumbani wewe unamuhudumia kiuchumi yeye analea watoto wewe unasomesha watoto yeye akikusaidia kutafuta pesa na kuhudumia watoto wewe unamsaidia kazi za ndani na kulea watoto simple tu sasa hapo hakuna huduma inayouzwa wala kununuliwa ni kutimiza majukumu yenu tu wanaouza k ni wale ambao hakuna huduma yoyote anayompatia mume wake zaidi ya ngono tu halafu huyo mwanaume awe anamhudumia kiuchumi hiyo ndo biashara tofauti na hapo ni kutimiza majukumu na siyo kufanya biashara hakuna cha halali wala haramu
Upo sahihi kabisaDah...bosi ....hujanielewa....maana yangu... vitabu vyote vya dini .... katiba za nchi zote..zinasisitiza juu ya "kumtunza" mwanamke. Usichokijua ni kwamba hizo gharama za "kumtunza" malipo yake ni K tu..ambavyo ni sawa kuinunua ..mwanamke anaweza kuamua awe na mteja mmoja au wateja wengi...ndiyo maana akiwa na mteja mmoja lazima waandikishiane mkataba awe na uhakika ili K yake isije mdodea...na hii siyo kwamba nawakosea adabu wanawake..ila jambo la kiasili...lisilozungumzwa....
Ila kinachosikitisha kwenye hii mikataba ya mteja mmoja... haiko wazi...kuna wanaume wanalipia lakini K wanapata kwa taabu sana..au wapate kwa masimango...au wasipate kabisa... na hawana pa kusemea wanabaki wanaugulia ndani kwa ndani...ila wasipo "watunza" hata siku moja tu..kutaitishwa vikao vya kila namna..majirani na ndugu wote watajua.....
Hadi sasa nimechanganyikiwa....kati ya muuzaji yule ambaye mna mkataba na unamlipa vizuri lakini bado anakuzungusha kukupa mzigo..au akupe kwa masharti au asikupe kabisa .....na yule ambaye anakupa mzigo na unamlipa hapohapo...yupi anafanya biashara halali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji41]