Kuwa mwanaume ni utumwa (The Anatomy of Female Power)

Kuwa mwanaume ni utumwa (The Anatomy of Female Power)

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Kila mwanaume angeweza kusoma hiki kitabu cha Esther Villar In her book "THE MANIPULATED MAN "

Mwanamke jinsi anavo rubuni mwanaume tangu zamani na kuwabadili kua watumwa wao wa milele wanawake hujifanya kwamba ndo wanao nyanyaswa na kutumikishwa wakati wao ndo wanyanyasaji wakubwa wa wanaume.

Anaanza na uchumba na vizawadi utii salamu nzuri wakati lengo lake ni kukuteka ungie kwenye kiganja chake umtumikie kwenye ndao. Mwanaume anakua mutumwa wa maisha kwa kuangaikia kulea kulisha kilinda kutibu kulaza mwanamke na kizazi chake, kwa kurubuniwa ns furaha ya mda mfupi tu (sex) isio zidi hata dakika 15, wana furahi na kupenda kumiliki ndume zima kwa ajiri yake tu kama kifa chake (women are teritorial) na hatiki kifaa chaje kitumikie mgine nikama mtu anae miliki mtumwa hataki huyu mtumwa afanye kazi kwa mtu mgine

Mwanamke ana fake maisha kujionyesha ni dhaifu katika jamii ili apewe attention na huruma wakutumikisha mwanaume, mwanaume ana funzwa kufia mwanamke kwa lolote na watoto mwanaume ni kiumbe kinacho nyanyaswa kuliko viumbe vyote duniani. Mali zote zinapewa au kugawanywa nusu kwa nusu akileta ujinga wakuomba off au talaka

Sherehe za ndoa ni kwa ajiri ya mwanamke ndugu na marafiki zake kupongezana kuweza kufanikiwa kujipatia mtumwa wa milele, wakati mwanaume kwenye hiyo ndoa anapugia wenzake mkono wa byee, mimi ni mesha enda katika utumwa nimenaswa usela ndo mwisho bye bye. Hapo hapo state iko tayari kumuajibisha akishindwa kuajibika kutoa huduma kwa boss wake kwa jina la walfare za watoto.

Kila anapotaka kujinasua mwanaume anatishwa kwanini unajifuria unajipikia una wosha vyombo unapiga deki mwenyewe hizo zote ni kujengea mwanaume hofu endelee kwenye utumwa.

Screenshot_20240823-100444_Facebook.jpg
 
Kila mwanaume angeweza kusoma hiki kitabu cha Esther Villar In her book "THE MANIPULATED MAN "

Mwanamke jinsi anavo rubuni mwanaume tangu zamani na kuwabadili kua watumwa wao wa milele wanawake hujifanya kwamba ndo wanao nyanyaswa na kutumikishwa wakati wao ndo wanyanyasaji wakubwa wa wanaume

Anaanza na uchumba na vizawadi utii salamu nzuri wakati lengo lake ni kukuteka ungie kwenye kiganja chake umtumikie kwenye ndao. Mwanaume anakua mutumwa wa maisha kwa kuangaikia kulea kulisha kilinda kutibu kulaza mwanamke na kizazi chake, kwa kurubuniwa ns furaha ya mda mfupi tu (sex) isio zidi hata dakika 15, wana furahi na kupenda kumiliki ndume zima kwa ajiri yake tu kama kifa chake (women are teritorial) na hatiki kifaa chaje kitumikie mgine nikama mtu anae miliki mtumwa hataki huyu mtumwa afanye kazi kwa mtu mgine

Mwanamke ana fake maisha kujionyesha ni dhaifu katika jamii ili apewe attention na huruma wakutumikisha mwanaume, mwanaume ana funzwa kufia mwanamke kwa lolote na watoto mwanaume ni kiumbe kinacho nyanyaswa kuliko viumbe vyote duniani. Mali zote zinapewa au kugawanywa nusu kwa nusu akileta ujinga wakuomba off au talaka

Sherehe za ndoa ni kwa ajiri ya mwanamke ndugu na marafiki zake kupongezana kuweza kufanikiwa kujipatia mtumwa wa milele, wakati mwanaume kwenye hiyo ndoa anapugia wenzake mkono wa byee, mimi ni mesha enda katika utumwa nime naswa usela ndo mwisho bye bye. hapo hapo state iko tayari kumuajibisha akishindwa kuajibika kutoa huduma kwa boss wake kwa jina la walfare za watoto. Kila anapo taka kujinasua mwanaume ana tishwa kwanini unajifuria unajipikia una wosha vyombo unapiga deki mwenyewe hizo zote ni kujengea mwanaume hofu endelee kwenye utumwa














View attachment 3076973
uogope jinsia ilio kua na kikao na nyooka ila mpaka leo hatukujua walijadili nini katika kikao chake na nyooka, Adam alipokea adhabu tu, ukisome genesis mpaka leo marejesho ya hicho kikao yakuandikwa.
 
Kila mwanaume angeweza kusoma hiki kitabu cha Esther Villar In her book "THE MANIPULATED MAN "

Mwanamke jinsi anavo rubuni mwanaume tangu zamani na kuwabadili kua watumwa wao wa milele wanawake hujifanya kwamba ndo wanao nyanyaswa na kutumikishwa wakati wao ndo wanyanyasaji wakubwa wa wanaume

Anaanza na uchumba na vizawadi utii salamu nzuri wakati lengo lake ni kukuteka ungie kwenye kiganja chake umtumikie kwenye ndao. Mwanaume anakua mutumwa wa maisha kwa kuangaikia kulea kulisha kilinda kutibu kulaza mwanamke na kizazi chake, kwa kurubuniwa ns furaha ya mda mfupi tu (sex) isio zidi hata dakika 15, wana furahi na kupenda kumiliki ndume zima kwa ajiri yake tu kama kifa chake (women are teritorial) na hatiki kifaa chaje kitumikie mgine nikama mtu anae miliki mtumwa hataki huyu mtumwa afanye kazi kwa mtu mgine

Mwanamke ana fake maisha kujionyesha ni dhaifu katika jamii ili apewe attention na huruma wakutumikisha mwanaume, mwanaume ana funzwa kufia mwanamke kwa lolote na watoto mwanaume ni kiumbe kinacho nyanyaswa kuliko viumbe vyote duniani. Mali zote zinapewa au kugawanywa nusu kwa nusu akileta ujinga wakuomba off au talaka

Sherehe za ndoa ni kwa ajiri ya mwanamke ndugu na marafiki zake kupongezana kuweza kufanikiwa kujipatia mtumwa wa milele, wakati mwanaume kwenye hiyo ndoa anapugia wenzake mkono wa byee, mimi ni mesha enda katika utumwa nime naswa usela ndo mwisho bye bye. hapo hapo state iko tayari kumuajibisha akishindwa kuajibika kutoa huduma kwa boss wake kwa jina la walfare za watoto. Kila anapo taka kujinasua mwanaume ana tishwa kwanini unajifuria unajipikia una wosha vyombo unapiga deki mwenyewe hizo zote ni kujengea mwanaume hofu endelee kwenye utumwa














View attachment 3076973
Tumeisha kataa ndoa ni utapeli mmetutafuta mpk mnatupata🤣🤣🤣
 
Mkuu mimi kumuhudumia mwanamke wangu ni utumwa? Sijalazimishwa wala kushurutishwa na mtu yoyote unauita utumwa?

Je yule anayefanya yote hayo huku moyo wake ukiwa hautaki naye utamuitaje?
Mkuu tayari ulisha andaliwa kisaikolojia kwamba unapaswa umuhudumie hiyo ndo unaitwa manipulation, ata wale watumwa walio pelekwa marekani alifikia hatua wa kajiona kwamba wanafanya kwa hiari yao, sio itumwa tena.
 
Ongopa jinsia ilio kua na kikao na nyooka ila mpaka leo hatukujua walijadili nini katika kikao chake na nyooka, Adam alipokea adhabu tu, ukisome genesis mpaka leo marejesho ya hicho kikao yakuandikwa.
hivi na nyie waislamu mnaamini mambo ya nyoka?
 
Mkuu uko vizuri katik kiingereza inaonekana, ila ukikimaliza utabaki kua the same kifkra utakua na mtizamo mpya kwenye masuala ya jamii.
Mkuu ndo hivyo tunajitahidi tu ila ngeri ya hiki kitabu sio ya mchezo ni ile Ancient english kabisa, kina mtazamo mzuri sana ningeshauri kila Mwanaume akisome atajifunza vitu vingi sana vya kumjenga... sema ndo hivyo asili ya watu wengi ni kutojifunza haswa kwa kusoma vitabu.
 
Back
Top Bottom