Kuwa mwanaume ni utumwa (The Anatomy of Female Power)

Usiombe usome hili bandiko afu wakat huo kuna mjinga( mkeo) anakusumbua huko nyumban,unaweza chukua maamuz mabaya sana

Kikubwa ambacho huwa kinanitia hasira ni pale unapoingia ndoani na kuwapambania kwa kila kitu afu bado tena uhuru wako unaanza kuminywa(uwah kurudi nyumban,uage,usiruhusiwe kutoa vitu vyako bila kuomba ushauri)
 
Unampigania kws nguvu zote mpaka unatukanwa kazini unaishi kwa shida anakuja kukuambia hata sioni msaada wako hapa nyumbani kwa maosha gani haya loh
 
Hapo kati mkuu ooh lala
 
1 Wakorintho 11:9
[9]Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume.
Neither was the man created for the woman; but the woman for the man.

Ishi humu, tatizo mnaenda kichwa kichwa na kuanza kuulizwa maswali na mwanamke eti UTANIFANYIA NN KTK MAISHA.
Nawe unaanza kujieleza.
 
Hata kwenye movie zao wanawajengea hali hio kuwa mwanamke hana shida
Maadui wote ni wanaume
Hii dunia ni ya mwanamke

Mwanaume alishauza haki ya uzaliwa wa kwanza.
Shetani aliipata hii dunia kwa njia ya mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…