Kuwa mwanaume shida sana...

Kuwa mwanaume shida sana...

Kuwa mwanamke raha kweli

Tabu inakuja nikifikiria kwenye kuzaa pale,nasikia inauma kinyama mixer kuchunguliwa

Unasikia inauma....???? Kwa hiyo bado hujazaa tu mpaka sasa!! Labda kama hujajaliwa.
 
UKIONA meanaume anawazia makeup ujue maisha ni magumu haswa.
 
Tukuchangie ela ukafanyiwe transgender surgery, uwe mwanamke?
 
Kuna watu wanazaliwa kwa namna km tatu hivi.

Waliochelewa kuzaliwa(zaidi ya miezi 9) wengi wao wakiwa na shida basi huwa ni shida haswa.

Waliowahi kuzaliwa kabla ya miezi kutimia(hawa husumbuliwa tu kile kipindi cha mwanzoni cha ukuaji wao lakini wanakuwa smart baadhi yao.

Waliozaliwa miezi kamili. Hawa wengi ni hii jamii ituzungukayo. Ila shida yake huathirika na jamii hii kubwa inayomzunguka.

Baadhi ya wazazi hukosea sana kujipangia mtoto wazi wazi kuwa ningepata dume au jike matokeo yake ndio haya.

Kila kitu kina sababu na kila kitu kipo kwa sababu.

Usilaumu maamuzi yoyote ya muumba wako kwa jambo alilokufanyia.
asante kwa taarifa mkuu🙏🙏✌️
 
Diamond was beautiful (handsome)

After money making spree, he is looking like one

Hata mwanamke asiye na hela hizo make up atapaka majani ya mipapai?
 
Nikiwa kama muwakilishi wawanaume Tanzania tumeamua kumpunguzia huo mzigo kwakumruhusu mleta Uzi kuvaa wigi nakupaka makeup
 
Kuwa mwanamke raha kweli

Tabu inakuja nikifikiria kwenye kuzaa pale,nasikia inauma kinyama mixer kuchunguliwa
My wife huwa ananiambia alitamani kulala chooni kwa uchungu wa kuzaa. Jiandae maana hata biblia umesema utazaa kwa uchungu. Labda upasuliwe tu.
 
Kuwa mwanamke raha kweli

Tabu inakuja nikifikiria kwenye kuzaa pale,nasikia inauma kinyama mixer kuchunguliwa
Nyie watu mkifika mount kilimanjaro juu kbs mtakua mnapataga burudani zaidi yetu aisee,na hela mnakula na burudani mnatuzidi....jmn kuweni na huruma muwe mnatuhonga bac?
 
Roho yako ilishawahi kutaka kuacha mwili?

Sijawahi kuchunguliwa kaka
Pole sana, machungu ya kujifungua na kuchunguliwa na wakunga ndio maisha ya kawaida kwa wana ndoa.
Ila mimi nachukia zaidi wakunga kuwa Wanaume kwa wake zetu,hii ndio huleta ukakasi.
Lile jeba munapokutana nalo mitaani na likakukumbuka kuwa ndo wewe aliekuingiza mikono, sijui inasomekaje hapa?
Halafu anakuuliza babi anaendeleaje,?
Ningetamani kumuona siku moja?
halafu anajichekesha kimtindo. 😀 😀😀😉🙏🙏
 
haishindi maumivu wakati roho inatakuwacha mwili samahan dd hivi hujawai kuchunguliwa kabisa mpk umri huo
Wacheni udadisi wa kitoto, kama mnataka kuchungulia pelekeni barua,
ombeni ruhusa yake tu kama ni single.
Mwenzenu anaogopa kujifungua,kwahiyo ndo maana anaogopa kuchunguliwa lakini si......
 
Back
Top Bottom