Simple and clear,kongole mkuuMkuu nikupe siri, hakikisha kama mwanaume unauwezo wa kujihudumia kila kitu sio kipesa tu ila kimaisha zaidi.
Mfano, hakikisha unaweza kujipikia, kujifulia, kuwa na furaha na kuwajijali kiusafi na kimavazi.
Wanawake wengi wana control na kutusumbua akili sababu wanajua hatuwezi jitegemea kwenye hivyo vitu.
Ukijimudu hivyo vitu, hakuna mwanamke anaweza kuwa na jeuri mbele yako.
Hakikisha mwanamke akijikadiria aone kabisa hata akiondoka unaweza kujihudumia na mwanamke mwingine akakupenda.
Ni simple sana, jijali.
Umesoma kwa kupanic mzee, ebu soma tena! Hakuna mahali nimesema hivo!We badala ujione fahari kuwa mwanaume unajilaumu kuwa mwanaume
Basi jiunge kule sisi wanaume tutakulisha bure, tutakula chochote unataka bure
Au ulitaka kumaanisha nini kusema kuwa mwanaume inakuchosha
Tumbafu kabisa
Ni jambo rahisi sana mkuuSimple and clear,kongole mkuu
Vishaumana hukoππππ.Kuwa mwanaume si jambo jepesi kwa hii dunia, imagine unatakiwa kumpa mtu hela na hakudai wala nini!!!
Sredi tyr πKuwa mwanaume si jambo jepesi kwa hii dunia, imagine unatakiwa kumpa mtu hela na hakudai wala nini!!!
Na ndio maana wanaume wote wanaojua kufua nguo zao vizuri,kujipikia vizuri na wasafi huwa wanachelewa kuoaNi jambo rahisi sana mkuu
Ni ngumu kutekeleza...πMkuu nikupe siri, hakikisha kama mwanaume unauwezo wa kujihudumia kila kitu sio kipesa tu ila kimaisha zaidi.
Mfano, hakikisha unaweza kujipikia, kujifulia, kuwa na furaha na kuwajijali kiusafi na kimavazi.
Wanawake wengi wana control na kutusumbua akili sababu wanajua hatuwezi jitegemea kwenye hivyo vitu.
Ukijimudu hivyo vitu, hakuna mwanamke anaweza kuwa na jeuri mbele yako.
Hakikisha mwanamke akijikadiria aone kabisa hata akiondoka unaweza kujihudumia na mwanamke mwingine akakupenda.
Ni simple sana, jijali.
tena ukute na vichenchi havikauki mfukoni... unajikuta kama li-falme flani hivii, best feeling ever.Mkuu nikupe siri, hakikisha kama mwanaume unauwezo wa kujihudumia kila kitu sio kipesa tu ila kimaisha zaidi.
Mfano, hakikisha unaweza kujipikia, kujifulia, kuwa na furaha na kuwajijali kiusafi na kimavazi.
Wanawake wengi wana control na kutusumbua akili sababu wanajua hatuwezi jitegemea kwenye hivyo vitu.
Ukijimudu hivyo vitu, hakuna mwanamke anaweza kuwa na jeuri mbele yako.
Hakikisha mwanamke akijikadiria aone kabisa hata akiondoka unaweza kujihudumia na mwanamke mwingine akakupenda.
Ni simple sana, jijali.
Huo muda hv nautoa wapi aisee..ππ nina zaidi ya mwezi hapa ndani hapadekiwi. Ili nisioshe vyombo ni bora nisipike kabisa.ππNa ndio maana wanaume wote wanaojua kufua nguo zao vizuri,kujipikia vizuri na wasafi huwa wanachelewa kuoa
Tena huwakosoa sana wanawake kwenye mapishi na ufuaji,na mpaka umeolewa na mwanaume huyo ujue uwe umemzidi hivyo vyote
Wanaume wavivu ndiyo tuanongoza kuoa mpema
Aahaaaaa,sawa mkuuHuo muda hv nautoa wapi aisee..ππ nina zaidi ya mwezi hapa ndani hapadekiwi. Ili nisioshe vyombo ni bora nisipike kabisa.ππ
Sawa vijana tafuteni pesa kwa wingi, sisi wengine hatuhitaji hizo pesa tumetosheka na hali zetu.Acha tutafute pesa tu, hakuna namna!
Si alikupa kipochi manyoya sasa ulifikiri anakupa bure!Kuwa mwanaume si jambo jepesi kwa hii dunia, imagine unatakiwa kumpa mtu hela na hakudai wala nini!!!
Madini haya...Mkuu nikupe siri, hakikisha kama mwanaume unauwezo wa kujihudumia kila kitu sio kipesa tu ila kimaisha zaidi.
Mfano, hakikisha unaweza kujipikia, kujifulia, kuwa na furaha na kuwajijali kiusafi na kimavazi.
Wanawake wengi wana control na kutusumbua akili sababu wanajua hatuwezi jitegemea kwenye hivyo vitu.
Ukijimudu hivyo vitu, hakuna mwanamke anaweza kuwa na jeuri mbele yako.
Hakikisha mwanamke akijikadiria aone kabisa hata akiondoka unaweza kujihudumia na mwanamke mwingine akakupenda.
Ni simple sana, jijali.