Kuwa na mahusiano na watoto ni kazi kweli kweli japo they are very sweety

Kuwa na mahusiano na watoto ni kazi kweli kweli japo they are very sweety

Dah, umenikumbusha sana, nikiwaga chuo second year kuna mtoto alikua form 5 kisu hatari, alikuaga ananizungusha sana, yaani unaweza kupanda daladala mkakutane maeneo flani Mara hapatikani, Mara simu inaita tu, badae anakujibu simple tu "nilipitiwa na usingizi"

Nishawahi kukoswakoswa na mbwa kisa kumfuatilia yeye! Alikua anasoma TAMBAZA.
We tambaza pale mwaka gani alisoma mimi nilisoma hapo 2017
 
Back
Top Bottom