Kuwa na mke mmoja na kuzaa watoto na mwanamke mmoja mnakua mmeona nini?

Kuwa na mke mmoja na kuzaa watoto na mwanamke mmoja mnakua mmeona nini?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Zipi faida za kuzaa watoto haijalishi wangapi na mwanamke mmoja, wengi hapa mtakuja na kigezo cha amani kati yako na mke na amani kati yako watoto na watoto.

Hivi kweli waliozaliwa familia Moja hawagombani na hawagombei Mali, nimeshtuka mtu ananiambia upendo unakosekana hivi ni kweli ndugu wasiopendana huwa wanatoka kwa mama tofauti.

Hivi ndoa zinazovunjika na wanaogombana ni wale wenye mke zaidi ya mmoja tu, na wanaopata ukimwi na kufa ni wale wenye mke zaidi ya mmoja tu, kwamba death is designed for polygamist tu, ukiwa na mke mmoja hufi Wala hupati shida duniani, eti wakubwa!.
 
Kama huna kipato cha kueleweka, Kua na mke zaidi ya mmoja au Kua na familia zaidi ya moja, ni ujinga na ubinafsi wa hali ya juu, kwa sababu watakao teseka kwa maamuzi yako ya kijinga ni Hao wanawake, watoto utakao wazaa, na Ndugu zako ambao watakua wajomba na mashangazi kwa hao watoto.

So fikiria zaidi in terms ya kipato kabla hujaanzisha hicho kijiji.
 
Kama huna kipato cha kueleweka, Kua na mke zaidi ya mmoja au Kua na familia zaidi ya moja, ni ujinga na ubinafsi wa hali ya juu, kwa sababu watakao teseka kwa maamuzi yako ya kijinga ni Hao wanawake, watoto utakao wazaa, na Ndugu zako ambao watakua wajomba na mashangazi kwa hao watoto.

So fikiria zaidi in terms ya kipato kabla hujaanzisha hicho kijiji.
Point muhimu
 
Ni suala tu la amani wanaume wengi wanaamini watoto wa mwanamke mmoja huleta amani japo yaweza isiwe ivyo ila mara nying ni aman

Ni sawa na kuoa mwanamke bikra unaamini utaishi kwa aman lakin kumbe yaweza kua sio unaweza owa bikra na akanadilika **** malaya ukabaki unashangaa
 
Shida huja pale kila familia akitaka yenyewe iwe ndo first classs kwa familia nyingine na hizi chokochoko huanza kwa wamama, kwa hiyo wewe Baba unaweza kufanya kila kitu kwa usawa ila wamama huona bado kuna upande unapelendelea zaidi kwahiyo ukiona haupo strong never do that
 
Zipi faida za kuzaa watoto haijalishi wangapi na mwanamke mmoja, wengi hapa mtakuja na kigezo cha amani kati yako na mke na amani kati yako watoto na watoto.

Hivi kweli waliozaliwa familia Moja hawagombani na hawagombei Mali, nimeshituka mtu ananiambia upendo unakosekana hivi ni kweli ndugu wasiopendana Huwa wanatoka kwa mama tofauti.

Hivi ndoa zinazovunjika na wanaogombana ni wale wenye mke zaidi ya mmoja tu, na wanaopata ukimwi na kufa ni wale wenye mke zaidi ya mmoja tu, kwamba death is designed for polygamist tu, UKiwa na mke mmoja hufi Wala hupat shida duniani eti wakubwa.
Ukiwa na mtoto mmoja atagombana na nani?
 
Suala la Kuwa na Mke zaidi ya Mmoja sio lelemala, na linahitaji Mwanaume Mbabe. Ukiwa nice guy huwezi kutoboa.

Yaani Mke hana hili wala lile, unampelekea kumtambulisha Mke mwenzake.

Wakati huo huo umeandaa nyumba kwaajili ya huyo Mke wa pili kwenda kuishi.

Baada ya hapo ni ratiba tu za kwenda Kulala na kula kadri ulivyowatambulisha.

Kama umesoma Genetics, Kuna umuhimu Mkubwa sana wa kuchanganya damu kwenye Uzao wako unless ubahatike tu.
 
Zipi faida za kuzaa watoto haijalishi wangapi na mwanamke mmoja, wengi hapa mtakuja na kigezo cha amani kati yako na mke na amani kati yako watoto na watoto.

Hivi kweli waliozaliwa familia Moja hawagombani na hawagombei Mali, nimeshtuka mtu ananiambia upendo unakosekana hivi ni kweli ndugu wasiopendana huwa wanatoka kwa mama tofauti.

Hivi ndoa zinazovunjika na wanaogombana ni wale wenye mke zaidi ya mmoja tu, na wanaopata ukimwi na kufa ni wale wenye mke zaidi ya mmoja tu, kwamba death is designed for polygamist tu, ukiwa na mke mmoja hufi Wala hupati shida duniani, eti wakubwa!.
Maelezo yote haya ni kutafuta uhalali wa kosa lako la kuzaa na kila mwanamke aliyepita mbele yako. Roho inakusuta ndo maana unaafuta wa kukuunga mkono kwa ulichofanya!!
 
Back
Top Bottom