Huyu raraa reree ni JF robotraraa reree mtu mbad, anaanziaga mbali sana na likes zake adi mdada unajihisi uko heaven🤣🤣
Nitag pisi ije ikupe mrejesho. N wa mjini lakini na hapa ipoNyie wa mjini mliokulia sandals hzi dabi hamziwezi
HahahahaNamba tatu hapo ni jirani yangu.
Lodge ya Mnazi Mmoja unaijua?Mwisho wa siku mtakuja kuanikana hapa tutajua hadi lodge mliyoenda na hela mlizopeana…
Anyways Hongera diha❤️
NakaziaKikubwa usingizi ndugu mtanzania mwenzangu
Na wakaka wa humu wanajua kuLove 🙊Wacha nikae vizuri humu labda na mimi ipo siku nitaleta uzi wa kudondokeana na mwana Jf👩❤️💋👨👩❤️💋👨
Hahaa sio kweliHuyu raraa reree ni JF robot
🤣🤣🤣🤣Na wakaka wa humu wanajua kuLove 🙊
Na ukidondokewa yan mpk PM za salam unajionea tabu kujibu, mtu anakuPm kumbe lengo aulize njia ya kwenda jukwaa la mapishi. 🤣🤣
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nitamwagia maji ya moto🤣🤣🤣🤣Na wakaka wa humu wanajua kuLove 🙊
Na ukidondokewa yan mpk PM za salam unajionea tabu kujibu, mtu anakuPm kumbe lengo aulize njia ya kwenda jukwaa la mapishi. 🤣🤣
Hii ndio nitolee 🤣🤣Ntakunong'oneza nikija Ntwara🤣
📌Nakazia
Anataka kuanza kuleta mipasho.
Kwani akiolewa si yeye na akichepuka si ni yeye.shida iko wapi?
Naomba unidondokee mimi tafadhaliWacha nikae vizuri humu labda na mimi ipo siku nitaleta uzi wa kudondokeana na mwana Jf👩❤️💋👨👩❤️💋👨
Hawezi endelea tena😀😀Bora unipambanie dear
Sasa mtu gani huyu ana-like kila comment na kila post?Hahaa sio kweli