Akiwa mkubwa ataelewa ni kwanini wenzie wanatuita wanaume mbwa,Lenie π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ
Mda mnao ila hamna hayo magemu hata ya kwenye simu.Nyie wa huko mjini naskia demu akija mnapata hadi muda wa kucheza game huku kijijini hamna huo mda
Unakuta humu unabishana magari makali na kuishi kwenye apartment lkn unashangaaa mtu anatoboa Siri geto lake anafunga kwa msumariπ’Ziko mbili π€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Ujue tuko kwaresma, niacheπ€£π€£ hivi kule si tulshazungumziaga hili swala? Kasome chats upya
Nimelia π€£π€£π€£π€£π€£ Ujue tuko kwaresma, niache
mbona mnamchanganya mwenzenu sasaπ€£π€£ inapaswa ukae kwa password girlie
Unaweza kupendwa asbh, jioni mtu akakubadilikia kama kapata ukichaa.
π€£π€£ afu napo ukute si kweli ghetto lina msumari. Basi tu mtu ana uchungu katemwa, anaamua aseme uongo mpate wote maumivuUnakuta humu unabishana magari makali na kuishi kwenye apartment lkn unashangaaa mtu anatoboa Siri geto lake anafunga kwa msumariπ’
Hii comment yangu ya mwisho uncle Dereva.
ππ
π«Άπ«Ά
ππ
Imeisha hiyooo. Maza house na shamba boy
π€£π€£π€£ tunamzingua tu.mbona mnamchanganya mwenzenu sasa
Mimi au mtoa mada? π€£π€£Aikooooooooooooooooooooooooooo! π€£ π€£ π€£ π€£ Tuwape muda au?
Acha kufukua makaburi bwana mdogo. Sukari bei juu, petrol bei juu, umeme hakuna, dollar zimekata sasa unataka tulatolee mawazo wapi?Suhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
ππAiseeeπ€£π€£ afu napo ukute si kweli ghetto lina msumari. Basi tu mtu ana uchungu katemwa, anaamua aseme uongo mpate wote maumivu
Haha ni serious unataka kufall inlov na mcheps? Mume akikukuta?Yaan bora nitulie na Mme wangu tu