Nakazia hoja mkuuKubadilisha Namba Kisa Kuogopa Ex Ni Udhaifu.
Sidhani kama anataka kubadili sababu ya kumuogopa Ex….Kubadilisha Namba Kisa Kuogopa Ex Ni Udhaifu.
Hiyo ni kawaida ya wanawake sijui huwa wana save wapi namba anaweza akakaa hata miaka mitano akivurugwa kwenye ndoa anarudi mwenyewe kuelezea visa vya mumewe wakati huo walituacha kwa dharau.Teknolojia ni nzuri na kwa mawasiliano haya ya simu, yamesaidia sana watu kuwa kama kijiji kimoja au familia moja.
Ila swala la simu ila kimtazamo naona ni sawa na kufunga pingu pale unapo kuwa na namba ambayo umekaa nayo mda mrefu kwenye maisha yako.
Namba hiyo unakuta ndio unatumia kipindi cha ma Ex,wafanyabiashara mbalimbali,madili,wabaya wako,mliogombana,ulivokuwa ..n.k
Sasa leo nashangaa kuona namba ya Ex wangu bado anayo na mimi sipo naye miaka 12 sasa.
Natamani kutafuta namba nyengine na wakati hii namba ndio kila kitu
Huwezi kuwa na EX wa miaka 12 halafu unatumia lugha hiyo ya ....nyengine....hiko kitu.....kimenuka.......kakiwasha......
Wa hizi lugha hawana hata uwezo wa kununua mkanda wa suruali zao. View attachment 2114730
Usiruhusu mkeo kushika simu yakoSidhani kama anataka kubadili sababu ya kumuogopa Ex….
Imagine Ex atume msg ‘ I miss you darling Kichwa Kichafu, afu mkeo aione. Hapo utajua
Huo sasa ni udhaifu mwingine kama atakua anabadili kumuogopa mkewe.Sidhani kama anataka kubadili sababu ya kumuogopa Ex….
Imagine Ex atume msg ‘ I miss you darling Kichwa Kichafu, afu mkeo aione. Hapo utajua
Sio udhaifu tu....ni udhaifu wa halii ya juu sanaKubadilisha Namba Kisa Kuogopa Ex Ni Udhaifu.
Nadhani ni kwasababu ya hisia, wanawake wanaongozwa zaidi na hisia.We unaongelea namba,watu wanatunza hadi picha....
Kuna Dada anakujaga ofisini namuhudumuia, kuna siku akaniambia
yani we kaka umefanana na X wangu mpaka basi'', nikamwabia Hebu
nionyeshe huyo X wako nimuone, nikamuona anapekua gallery mara
paap nikaonyeshwa mtu niliefanana nae, Story zikaendelea kama kawaida
mimi nikamuuliza,X wako tangu uachane nae una muda gani hamjawasiliana
ana sema ni miaka,maana ashaingia ktk mahusiano na mtu mwingine,sasa nikawa
nawaza huyu dada mtu wameachana wana miaka anatunza picha yake kwenye simu yanini?
Mbona Kuna Njia Nyingi Za Kuepusha Na Kushughulika Na Ex Wapumbafu Kama Hao.Sidhani kama anataka kubadili sababu ya kumuogopa Ex….
Imagine Ex atume msg ‘ I miss you darling Kichwa Kichafu, afu mkeo aione. Hapo utajua
Je ni kweli umefanana na X wake?We unaongelea namba,watu wanatunza hadi picha....
Kuna Dada anakujaga ofisini namuhudumuia, kuna siku akaniambia
yani we kaka umefanana na X wangu mpaka basi'', nikamwabia Hebu
nionyeshe huyo X wako nimuone, nikamuona anapekua gallery mara
paap nikaonyeshwa mtu niliefanana nae, Story zikaendelea kama kawaida
mimi nikamuuliza,X wako tangu uachane nae una muda gani hamjawasiliana
ana sema ni miaka,maana ashaingia ktk mahusiano na mtu mwingine,sasa nikawa
nawaza huyu dada mtu wameachana wana miaka anatunza picha yake kwenye simu yanini?