Kuwa na nyadhifa zaidi ya moja

Kuwa na nyadhifa zaidi ya moja

ThisIsIt

Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
31
Reaction score
64
Niende moja kwa moja, hii nchi kuna watu wamejilimbikizia vyeo na watu ni wale wale tangu 80's na 90's ndio wapo kwenye system.

1. Imagine mtu ni MBUNGE halafu ni WAZIRI

2. Imagine mtu ni MWENYEKITI WA BODI fulani halafu anapewa tena taasisi nyingine

Vijana waliozaliwa 90's sijui watapikwa lini kwenye hizi nafasi ambazo kwasasa ni za kujuana na kuuziana

Ajira hamna halafu unakuta mzee tu alishastaafu anarudi tena kwenye mfumo..mimi anaboreka sana kama kijana😩😩

#UTUMISHI_ITENI_WATU_TUMECHOKA
 
Ni mbunge ni waziri, mshahara mnono haukatwi kodi marupurupu kibao....Mungu atutie nguvu.
 
Iyo ni channel tu ukiingia unaflow tu usiwaze ni swala la mda kama ipo ipo tu.
 
Ndio maana yake posho nyingi mpaka zinakua Vyosho sasa maana vimezidi, na nyie mnaambiwa mkajiajiri POLENI sana ndugu zangu, ndio tozonia yenu hiyo
 
Kuhusu mtu kuwa mbunge na kuwa waziri hilo haliepukiki lipo kwa mujibu wa katiba.
Hii katiba ni ya kishenzii, nadhani ilifaa wakat population ikiwa ni ndogo na wasomi wakiwa wachache
 
Niende moja kwa moja, hii nchi kuna watu wamejilimbikizia vyeo na watu ni wale wale tangu 80's na 90's ndio wapo kwenye system.

1. Imagine mtu ni MBUNGE halafu ni WAZIRI

2. Imagine mtu ni MWENYEKITI WA BODI fulani halafu anapewa tena taasisi nyingine

Vijana waliozaliwa 90's sijui watapikwa lini kwenye hizi nafasi ambazo kwasasa ni za kujuana na kuuziana

Ajira hamna halafu unakuta mzee tu alishastaafu anarudi tena kwenye mfumo..mimi anaboreka sana kama kijana😩😩

#UTUMISHI_ITENI_WATU_TUMECHOKA
Mtu kuwa mbunge halafu wakati huo huo ni waziri, hayo ni matakwa ya sheria yetu..!! Si maamuzi ya yeyote. Tubadili sheria.
 
Unazungumzia vijana hawa WA miaka ya 90 ambao wako radhi kukesha Mitandaoni kushabikia katibu WA masanja kujiua kuliko kupinga tozo?


Hawa vijana ambao wako radhi kuandamana Kwa kudai haki za Diamond kuliko kudai bei za vyakula kushuka?

Kama ni hawa Acha wanyoke Tu akili hawana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom