Kuwa na pesa kwenye akaunti muda wote inasaidia

Kuwa na pesa kwenye akaunti muda wote inasaidia

political Engineer 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
295
Reaction score
792
Nimegundua moja ya jambo muhimu ni kuwa liquid muda wote. Matajiri wenye hela cash muda wote kwenye akaunti wananunua vitu kwa bei ndogo.

Juzi Kuna kiwanja kilikuwa kinauzwa zaidi 15M hata Mimi nilimfuata kumpa 15M akakataa.lakini juzi amepata shida ya hatari ameuza 7.5M yaani amekuja mwenyewe tena Kwa kubembeleza baada ya Madalali kutafuta mteja akakosa.

Hata Tenda zinakuja mara nyingi kipindi huna hela ukiangalia wanataka u supply vitu Kisha ulipwe lakini ukiangalia huna hela.

Ushauri: Hakikisha kwenye akaunti walau una 20M ambazo zipo tu zimesubiri muda wowote unaweza kukutana na deal inayohitaji cash na Ina faida kubwa.
 
Nimegundua moja ya jambo muhimu ni kuwa liquid muda wote. Matajiri wenye hela cash muda wote kwenye akaunti wananunua vitu kwa bei ndogo.

Juzi Kuna kiwanja kilikuwa kinauzwa zaidi 15M hata Mimi nilimfuata kumpa 15M akakataa.lakini juzi amepata shida ya hatari ameuza 7.5M yaani amekuja mwenyewe tena Kwa kubembeleza baada ya Madalali kutafuta mteja akakosa.

Hata Tenda zinakuja mara nyingi kipindi huna hela ukiangalia wanataka u supply vitu Kisha ulipwe lakini ukiangalia huna hela.

Ushauri: Hakikisha kwenye akaunti walau una 20M ambazo zipo tu zimesubiri muda wowote unaweza kukutana na deal inayohitaji cash na Ina faida kubwa.
Sio viwanja tu hata mtaani ukiwa unajulikana na machalii wa mtaa kwamba hukosi laki 2-3 hizi ukawa mtu wa kujimix watakuletea vitu vingi vya bond maana maisha yakigomaga bana watu hukosa option zaidi atakuletea tv yake ya 50" kwa mkopo wa laki 4 tu.

Mtu anaweza akakuletea Subaru ya 20M kwa million tisa tu. Sio kwamba hanaga hela ila unakuta vitu vimemgomea hela inahitajika urgently hasa wale wanaochezaga na hela za ofisi.
 
Sio viwanja tu hata mtaani ukiwa unajulikana na machalii wa mtaa kwamba hukosi laki 2-3 hizi ukawa mtu wa kujimix watakuletea vitu vingi vya bond maana maisha yakigomaga bana watu hukosa option zaidi atakuletea tv yake ya 50" kwa mkopo wa laki 4 tu.

Mtu anaweza akakuletea Subaru ya 20M kwa million tisa tu. Sio kwamba hanaga hela ila unakuta vitu vimemgomea hela inahitajika urgently hasa wale wanaochezaga na hela za ofisi.
Upande wa Tenda ndo muhimu zaidi, yaani unaweza kupewa tenda alafu huna hata mia.na aliyekupa hatakaa akupe nyingine hapo ndo utajua mwenye nacho uongezewa

Note: Be liquid always it pays
 
Upande wa Tenda ndo muhimu zaidi, yaani unaweza kupewa tenda alafu huna hata mia.na aliyekupa hatakaa akupe nyingine hapo ndo utajua mwenye nacho uongezewa

Note: Be liquid always it pays
Hahahahahah unaona hela zilee zinakupitaa
 
Nilishawahi kununua core i7 ram 8gb kwa 130,000/=
 
Back
Top Bottom