Kuwa na vyama ambavyo havina itikadi hata moja ni shida sana. Wanabaki wanasubiri tu Rais leo anasema nini ili kukosoa

Kuwa na vyama ambavyo havina itikadi hata moja ni shida sana. Wanabaki wanasubiri tu Rais leo anasema nini ili kukosoa

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hivi ukumuuliza John Mnyika, Tundu Lisu au Mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike.

Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa wameshawaelewa.

Huku kwetu vyama vya upinzani ni kelele tu kama za na matusi kama akina Mdude Nyagali

Hivi mbowe, mnyika mbali na siasa anaweza kufanya nini tena au lema.

Tuwavumilie tu mana kwao politics na fujo na kelele
 
Hivi ukumuuliza mnyika, lisu au mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike.

Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa wameshawaelewa.

Huku kwetu vyama vya upinzani ni kelele tu kama za na matusi kama akina mdude nyagali

Hivi mbowe, mnyika mbali na siasa anaweza kufanya nini tena au lema.

Tuwavumilie tu mana kwao politics na fujo na kelele
Washa kuambia chama cha demokrasia na maendeleo. Hata tafsiri yao inakushinda. Wao n wana demokrasia
 
Hivi ukumuuliza mnyika, lisu au mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike.

Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa wameshawaelewa.

Huku kwetu vyama vya upinzani ni kelele tu kama za na matusi kama akina mdude nyagali

Hivi mbowe, mnyika mbali na siasa anaweza kufanya nini tena au lema.

Tuwavumilie tu mana kwao politics na fujo na kelele
Pole sana kwa ujinga wa kutojua hata maana ya itikadi.
 
Hivi ukumuuliza mnyika, lisu au mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike.

Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa wameshawaelewa.

Huku kwetu vyama vya upinzani ni kelele tu kama za na matusi kama akina mdude nyagali

Hivi mbowe, mnyika mbali na siasa anaweza kufanya nini tena au lema.

Tuwavumilie tu mana kwao politics na fujo na kelele
Vyuo vikuu vyetu vinazalisha Chawaa ,swali kwako kwanini CCM wanapambana na CDM kama hawana Itikadi
 
Hivi ukumuuliza mnyika, lisu au mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike.

Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa wameshawaelewa.

Huku kwetu vyama vya upinzani ni kelele tu kama za na matusi kama akina mdude nyagali

Hivi mbowe, mnyika mbali na siasa anaweza kufanya nini tena au lema.

Tuwavumilie tu mana kwao politics na fujo na kelele
Ushajiuliza CCM inasimamia nini kwa sasa?
 
Hivi ukumuuliza mnyika, lisu au mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike.

Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa wameshawaelewa.

Huku kwetu vyama vya upinzani ni kelele tu kama za na matusi kama akina mdude nyagali

Hivi mbowe, mnyika mbali na siasa anaweza kufanya nini tena au lema.

Tuwavumilie tu mana kwao politics na fujo na kelele
Acha dharau, kweli hawa majembe hawana wanaloweza nje ya Politics? You must be joking. Mimi si shabilki wala mfuasi wa hawa jamaa, ila najua nje ya siasa pia wako vizuri na walikuwa na maisha yao mazuri tu hata kablya ya kuingia kwenye siasa. Nadhani unaongea vise versa kwako. Hawa jamaa wana misingi ya kuwawezesha kuendesha maishay yao na familia zao with a decent life.
 
Back
Top Bottom