Kuwa na vyeti vingi sio kigezo

Huko kwenye interview ulikutana na wenye degree au diploma ya CS?
 
Huo mshahara unaolipwa, soma masomo ya jioni upate chet cha four, au mtafute mwalimu wa masomo akufate kukufundishia nyumbani, mambo yanaweza geuka, mfano watu wangapi wapo nyumbani kwa ajiri ya vyet vya four na walikuwa na Ajira zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huo ni uongo...eti hata form four hujamaliza na acha kupotosha umma


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa we jamaa unasema huna vyeti au huna cheti cha form foo? Si umesema ulisoma ma Cisco hayo ukamaliza au? Hizo kozi za foundation ulipomaliza hawakukupa cheti? Navyofahamu Mimi ukisoma hata kama ni mtandaoni ukimaliza wanakupa cheti. So wewe Una vyeti vya IT kazi unayofanya Ila huna cha form foo. Usiwadanganye watoto wa watu wakaacha kumaliza secondary.

Nadhani mantiki ya Uzi wako ingekuwa mtu unaweza kupata kozi ukasoma na ukamaliza mtandaoni bila kuwa na cheti cha form foo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…