Kuwa na wapenzi wengi inakulazimu kutokana na Mazingira

Kuwa na wapenzi wengi inakulazimu kutokana na Mazingira

byakunu

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
583
Reaction score
1,318
Nilikaa Juliana Pub, kadri muda ulivokuwa unaenda aisee kitu nilicho kiona ni ongezeko kubwa sana la watu ilikuwa wanaoongezeka zaid ni wanawake yan walikua wengi kuliko wanaume, nikatoka nikaingia Tips the same wanawake wamefurika kuliko wanaume.

Nikabadili chimbo nikaingia Maison na Elements the same thing. Maswali nayo jiuliza ni kuwa inamaana ratio ya Ke kwa Me ndo zimepishana kwa kiasi kikubwa hivi kwenye population? Ukija kwenye chance ya kimahusiano hapa ni mwanaume mmoja ambae yuko Dar anauwezo wa kuwa na mademu hata 20-30 mpaka wengina anawasahau.Wanawake wamezidi kuwa wengi kuliko wanaume.

Wanaume tuko wachache ukilinganisha wanawake, bado katika uchache wetu kuna mashoga, kuna wazee, kuna wafungwa, kuna mapadre, kuna watoto, kwahyo wanawake hawa tuwatafune tuu usiwaache wastiri pale unapo pata chance we mtembezee tuu ila kuwa makini sana kijana mwenzangu wa kiume, Kumbuka msululu alio pangwa huyo dada ni mrefu kuliko kawaida. Take care sana jijali jilinde vaa kiatu kigumu sana. Usitembelee rim.
 
Sio kwamba wapo wengi
ila wengi wapo kwenye starehe
 
Sio kwamba jamaa wametuma na ya kutolea then madem wameenda kujirusha na jamaa wamebakia magetoni kwao hawana hata mia ya msosi usiku, achilia mbali chai ya kesho!
 
Sasa nenda Soko la Kisutu kisha ufike na pale Mbezi Stand ya Magufuli uangalie uwiano kisha uje na mrejesho ili tuweze kupata picha za maeneo mengine pia..
 
Nilikaa Juliana Pub, kadri muda ulivokuwa unaenda aisee kitu nilicho kiona ni ongezeko kubwa sana la watu ilikuwa wanaoongezeka zaid ni wanawake yan walikua wengi kuliko wanaume, nikatoka nikaingia Tips the same wanawake wamefurika kuliko wanaume.

Nikabadili chimbo nikaingia Maison na Elements the same thing. Maswali nayo jiuliza ni kuwa inamaana ratio ya Ke kwa Me ndo zimepishana kwa kiasi kikubwa hivi kwenye population? Ukija kwenye chance ya kimahusiano hapa ni mwanaume mmoja ambae yuko Dar anauwezo wa kuwa na mademu hata 20-30 mpaka wengina anawasahau.Wanawake wamezidi kuwa wengi kuliko wanaume.

Wanaume tuko wachache ukilinganisha wanawake, bado katika uchache wetu kuna mashoga, kuna wazee, kuna wafungwa, kuna mapadre, kuna watoto, kwahyo wanawake hawa tuwatafune tuu usiwaache wastiri pale unapo pata chance we mtembezee tuu ila kuwa makini sana kijana mwenzangu wa kiume, Kumbuka msululu alio pangwa huyo dada ni mrefu kuliko kawaida. Take care sana jijali jilinde vaa kiatu kigumu sana. Usitembelee rim.
Ndiyo maana watu wanafukunyua na mitaro maana kila mwanamke anatoa cha kumfanya baby wake astiki nae tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umesoma sayansi au unabisha ilihali umebisha.... Genetically female ana XX male ana XY

X ni femal na Y ni male huoni chance ya kupata mtoto wa kike ni kubwa kuliko mtoto wa kiume... Muwe mnajibu with facts

Sent using Jamii Forums mobile app

Hajui biology huyu.. kuzaliwa mwanamke chance ni kubwa sana kuliko kuzaliwa mtoto wa kiume.. wanaume kupatikana ni ishu sana
 
Back
Top Bottom