Kuwa na wazo la kumiliki kiwanda

Kuwa na wazo la kumiliki kiwanda

Kuna kitu kinaitwa 'massive production' unakuwa unazalisha kwa wingi kwa gharama zako, wakati huo idara ya masoko inafanya kazi yake, ndivyo wanavyofanya kwenye viwanda, huwa hawazalishi kwa order maalumu, bali wao wanazalisha kwa sababu bidhaa inahitajika na idara ya masoko itafanya kazi. Kwa huyu anayeanza anatakiwa atathmini uwezo wake wa kuzalisha pamoja na bei ya sokoni ulioianisha hapo juu 6000-10,000
Akienda kwa hesabu hizi, sio chini ya 500 million atahiyaji kuanza. Kuwa na hiyo team ya sales and marketing budget inaweza kuwa 60 million kwa mwaka, na hiyo ni department moja.
 
Akienda kwa hesabu hizi, sio chini ya 500 million atahiyaji kuanza. Kuwa na hiyo team ya sales and marketing budget inaweza kuwa 60 million kwa mwaka, na hiyo ni department moja.
Nakubaliana nawe mkuu, anaweza kuanza kidogo kidogo huku akiendelea kukua; kabla ya kununua mashine aangalie gharama za malighafi pamoja na gharama za soko
 
Kama una kipato kiasi, na una ndoto ya kuja kumiliki kiwanda cha ukubwa wowote lakini hujui pa kuanzia; Jaribu kutembelea mitandao mbalimbali inayouza mashine, unaweza kuanza na alibaba na mingineyo. Kutazama tu mashine zilizopo, kuna wazo litakujia ufanye nini. Ila ukitazama bidhaa, unaweza kujikuta wewe ni mnunuzi wa bidhaa mpaka mwisho wa uhai wako.

Nb: Kama una uwezo wa kukopa benki laki mpaka mamilioni kwa jili ya kununua vitu vya anasa; kwanini usitumie fedha hizo kununua mashine/mitambo?
Good idea. Hii mbinu inasaidia kupanua mawazo.
 
Kwamba na we ulianza hivi saiv ndo unamiliki kiwanda gani apa bongoland mkuu
Inawezekana ukawa umeelimisha akili yako ila ego yako ikawa bado haijatakasika na elim yako

Mzee mwezangu unajiabisha..
Ni Bora ukanyamaza na kuwaacha wanaoona possibility katka mawazo ya mtoa uzi wakajfunza vtu
 
Back
Top Bottom