Kuwa single mama sio ticket ya kukata tamaa

Kuwa single mama sio ticket ya kukata tamaa

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Hamisa Mobeto amewapa heshima kubwa mno single mothers wote, jana amelipiwa mahari milioni 30 na ng'ombe 30. Hii ina maana watoto wake wa nje hawajawa sababu ya kushusha thamani yake, amewazidi wengi walioolewa wakiwa sio single mothers. Hii inatoa tafsiri kwamba thamani ya mwanamke bado inabaki kuwa kubwa bila kujali mapito yake

Kuwa single mother sio upungufu wa kinga mwilini, ni sehemu ya mapito tu, hao wanaume wanaolaani single mothers ndio wanaoongoza kwa kuchezea watoto wa watu

Mtu anasema hawezi kuoa single mother huku ana madem 10, kama hutaki kuoa single mother kaa bikra uje uoe ambaye hajawahi kufanya hayo mambo kama wewe vinginevyo tuliza mshono✅

Wapuuzi mnaokopi post zangu dawa yenu ipo jikon
 
Hamisa Mobeto ni single mother wa watoto wawili na baba zao wapo hai hapa hapa bongo lakini anaolewa kwa heshima zote na mwanaume wa maana kabisa ambaye ameona mabinti wengi ambao sio single mothers ila kampenda Hamisa.

Kuna kasumba ya wanaume wasio waelewa tz wanaosemaga single mothers hawafai kuolewa mara oooh ukitaka kumuoa single mother hakikisha umeona kaburi la baba wa mtoto, kiko wapi? Ni uoga tu na ulimbukeni

Sikuzote nimekuwa kinara kuwatetea Wanawake single mothers, kwamba wanafaa kuolewa na wengi wao hayo ni mapito tu ila sio kwamba hawajitambui na haina maana kwamba wote wanapasha viporo, inategemea na akili ya mtu

Kwenye hili la Hamisa Mobeto mabinti mlio single mothers mjifunze, msikate tamaa na kujirahisisha kwa wapumbavu sababu ya kuwa na watoto, jiwekeni tayari, jiaminini nyie bado ni wa thamani

Keep going, msikate tamaa.
 
Hamisa Mobeto ni single mother wa watoto wawili na baba zao wapo hai hapa hapa bongo lakini anaolewa kwa heshima zote na mwanaume wa maana kabisa ambaye ameona mabinti wengi ambao sio single mothers ila kampenda Hamisa.

Kuna kasumba ya wanaume wasio waelewa tz wanaosemaga single mothers hawafai kuolewa mara oooh ukitaka kumuoa single mother hakikisha umeona kaburi la baba wa mtoto, kiko wapi? Ni uoga tu na ulimbukeni

Sikuzote nimekuwa kinara kuwatetea Wanawake single mothers, kwamba wanafaa kuolewa na wengi wao hayo ni mapito tu ila sio kwamba hawajitambui na haina maana kwamba wote wanapasha viporo, inategemea na akili ya mtu

Kwenye hili la Hamisa Mobeto mabinti mlio single mothers mjifunze, msikate tamaa na kujirahisisha kwa wapumbavu sababu ya kuwa na watoto, jiwekeni tayari, jiaminini nyie bado ni wa thamani

Keep going, msikate tamaa.
Hv kile kichambo cha mama yake Aziz kwenda kwa injinia ulikisoma eti?
Kumbe mama hajakubali ndoa ya mwanae na Hamisa.
 
Back
Top Bottom