Miss Natafutwa
Senior Member
- Dec 18, 2024
- 190
- 593
Hv hawakusoma alama za nyakati?Uyo mama ana akili sana. Ki wamemchezea akili. Wanataka hela anayopata aibakishe hapa hapa.
SINGO MAMA WA KUMUOA NI YULE ALIYEFIWA NA MUMEWE TU......VINGINEVYO UMEOA KAH...BA.Hamisa Mobeto amewapa heshima kubwa mno single mothers wote, jana amelipiwa mahari milioni 30 na ng'ombe 30. Hii ina maana watoto wake wa nje hawajawa sababu ya kushusha thamani yake, amewazidi wengi walioolewa wakiwa sio single mothers. Hii inatoa tafsiri kwamba thamani ya mwanamke bado inabaki kuwa kubwa bila kujali mapito yake
Kuwa single mother sio upungufu wa kinga mwilini, ni sehemu ya mapito tu, hao wanaume wanaolaani single mothers ndio wanaoongoza kwa kuchezea watoto wa watu
Mtu anasema hawezi kuoa single mother huku ana madem 10, kama hutaki kuoa single mother kaa bikra uje uoe ambaye hajawahi kufanya hayo mambo kama wewe vinginevyo tuliza mshono✅
Mafala mnaokopi post zangu dawa yenu ipo jikon
Ila wanafata nini?Mi kataa ndoa ila sidhani kama hawa vichaa wanaooa wanafuata utamu tu
Eng. anampoteza Ki. Na ilikua tokea mwanzi Mobeto ni mkakati tu.Hv hawakusoma alama za nyakati?
Kwanini mama yake Ki hakuja kwenye mahari ila rafikize Ki wamekuja wakati wanaishi mtaa mmoja na mamake Ki?
Na uone kaburi, lenye majina matatu ya mwamba, na mtoto aende kwa bibi yake.SINGO MAMA WA KUMUOA NI YULE ALIYEFIWA NA MUMEWE TU......VINGINEVYO UMEOA KAH...BA.
Ila, yetu machoEng. anampoteza Ki. Na ilikua tokea mwanzi Mobeto ni mkakati tu.
Usisahau pia angalau ujiridhishe na picha hata mbili tatu za msiba.Na uone kaburi, lenye majina matatu ya mwamba, na mtoto aende kwa bibi yake.
Wakati wewe unampa sifa mwanamke mwenzio,Hamisa Mobeto amewapa heshima kubwa mno single mothers wote, jana amelipiwa mahari milioni 30 na ng'ombe 30. Hii ina maana watoto wake wa nje hawajawa sababu ya kushusha thamani yake, amewazidi wengi walioolewa wakiwa sio single mothers. Hii inatoa tafsiri kwamba thamani ya mwanamke bado inabaki kuwa kubwa bila kujali mapito yake
Kuwa single mother sio upungufu wa kinga mwilini, ni sehemu ya mapito tu, hao wanaume wanaolaani single mothers ndio wanaoongoza kwa kuchezea watoto wa watu
Mtu anasema hawezi kuoa single mother huku ana madem 10, kama hutaki kuoa single mother kaa bikra uje uoe ambaye hajawahi kufanya hayo mambo kama wewe vinginevyo tuliza mshono✅
Mafala mnaokopi post zangu dawa yenu ipo jikon
Msomali ni mafia, anatoa hela Kwa bwashe wake then zinaenda Kwa demu wake via kwa kijana wa TraoreEng. anampoteza Ki. Na ilikua tokea mwanzi Mobeto ni mkakati tu.
Bora kutokuoa kabisaa mzee.SINGO MAMA WA KUMUOA NI YULE ALIYEFIWA NA MUMEWE TU......VINGINEVYO UMEOA KAH...BA.
Ujui anapata niniWakati wewe unampa sifa mwanamke mwenzio,
Sisi kataa ndoa tunamshangaa jamaa mara mbili(2).
1)kaamua kuoa
2)kaoa singo moda
Toka lini mwanamke akampenda Binti wa mwanamke mwenzakeHv kile kichambo cha mama yake Aziz kwenda kwa injinia ulikisoma eti?
Kumbe mama hajakubali ndoa ya mwanae na Hamisa.
Vichaa tena?Mi kataa ndoa ila sidhani kama hawa vichaa wanaooa wanafuata utamu tu
Nadhani hujamwelewa vizuriTukiwaambia mnawadharau wanawake na kuwaona ni kama bidhaa mnatuona tunachuki.
Tangu lini thamani ya Mtu ikawa kwenye Pesa?
Kama gari Lamborghini na IST hayo ndio huthaminishwa na Pesa
Kwamba Hamisa Mobeto aliyetolewa Mahari ya Milioni 30 na Ng'ombe 30 anathamani kubwa kuliko Mama WA wengi humu? Pengine kuliko hata Mawaziri, Rais au wakurugunzi?
Kama mama yako alitolewa Mahari Milioni 3 inamaana Mobeto kamshinda Mamaako zaidi ya mara kumi kwa thamani?
Watumwa ndio wanathaminishwa.
Thamani ya Mtu ipo kwenye UTU wake. Tabia Njema, Tija kwenye jamii yake, heshima yake, akili yake, wajibu na majukumu yake.
Ni watu wenye Akili ndogo tuu ndio wanaweza kufikiri Kwa namna ya Mada hii
Toka lini mzazi mwenye akili tena mwanamke akakubali mwanae aoe single maza malaya aliyekubuhu.Hv kile kichambo cha mama yake Aziz kwenda kwa injinia ulikisoma eti?
Kumbe mama hajakubali ndoa ya mwanae na Hamisa.