Sugarsukari
JF-Expert Member
- Mar 17, 2015
- 729
- 806
Siyo jinsia ni jinsiTunaomba kujua jinsia yako tafadhali.
Umri, sura, kipato na tabia ni added advantage huko mbele ya safari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo jinsia ni jinsiTunaomba kujua jinsia yako tafadhali.
Umri, sura, kipato na tabia ni added advantage huko mbele ya safari
Ahh pole mkuu Mimi siko single na Wala Sina loneliness,,Lipo toto la mtu linanipunguzia stress zake nami Nampa zanguNataka tuwe tunafarijiana tu japo kwa text. Sema neeno tu na roho yangu itapona
Huko kwenye mahusiano kugumu sana sometimes unaona bora kuwa single kwa maana ya nafsi,yaani hauruhusu kupendana na mtu,lakini kimwili unakuwa sio single,vitendea kazi vinatumika.
Kinachofanya single kuwa kitu adimu ni kwamba,wale watu tunaowapenda na kuwaamini ndio wanakuwa mwiba mchungu,wanakufanya uone maisha si kitu tena.
Ila mapenzi matamu kipindi cha good days,yakibadilika huwa machungu kama shubiri.
So.. mi naona kuwa na mwenza au kutokuwa nae inategemea fungu lako lilipo.unaweza kuwa mtu wa furaha au huzuni.
Kuwa na mwenza ni jambo zuri sana kwenye maisha,tatizo ni huyo mwenza mwenyewe.