Kuwabana Wakurugenzi kuhusu V8 ni usaliti wa CCM na Serikali yake kwao. Bila wao hali ingekuwaje?

Wakurugenzi hawakua na sababu ya kununua magari ya gharama kiasi hicho.
Wameonyesha wazi kwamba wao hawana vipaumbele wala hawakubaliani na dhana ya kupunguza gharama zisizo za lazima kwa maendeleo ya nchi
Ni kweli, unazungumziaje misafara ya rais na matumizi yaliyopo?
 
Tukimalizana na hao tutaridiana wenyewe kwa wenyewe ndio raha ya dhambi ya usaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…